Mbunge wa Viti Maalum CUF, Rehema Migila arejea CCM

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Mbunge wa Viti Maalum (CUF) mkoa waTabora, Rehema Juma Migila amejiunga na CCM akidai kuridhishwa na utekelezaji wa ilani za chama hicho chini ya uongozi wa Rais Magufuli

Amesema amerudi CCM akiwa na akili zake timamu bila kushinikizwa wala kushikiwa bunduki na pia chama hicho kimekuwa cha Waungwana na Wazalendo bila kujali tofauti za watu

 
Tunampongeza sana kwa kuachana na Matapeli
 
Anajaribu bahati yake, atakaa benchi hana namba
 
Time will tell kama jiwe atawapokea wote wakati kuna wana CCM wamefia chama. Muda ni mwalimu mzuri!
 
Alichelewa Wapi Huyu Mbunge Mpaka Anakwenda Ccm Kwa Mkopo!!!πŸ˜πŸ˜€
Hakushikiwa Bunduki, πŸ˜„πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…