Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Akiongea na wanawake wa mkoa wa Ruvuma katika kongamano la wanawake wa mkoa huo Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Ruvuma, Mhe Jacqueline ngonyani Msongozi amesema mwanamke kuwa na kipato sio kigezo cha kumvunjia heshima mume wako ni wajibu wa mwanamke kumuheshimu mwanaume hata kama unashughuli ambayo inakuingizia fedha
Akiongea na wanawake wa mkoa wa Ruvuma katika kongamano la wanawake wa mkoa huo Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Ruvuma, Mhe Jacqueline ngonyani Msongozi amesema mwanamke kuwa na kipato sio kigezo cha kumvunjia heshima mume wako ni wajibu wa mwanamke kumuheshimu mwanaume hata kama unashughuli ambayo inakuingizia fedha