Pre GE2025 Mbunge wa viti Maalum Kagera Oliver Semuguruka kufanya ziara wilaya zote za Kagera

Pre GE2025 Mbunge wa viti Maalum Kagera Oliver Semuguruka kufanya ziara wilaya zote za Kagera

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Charlisious

New Member
Joined
Jun 15, 2020
Posts
3
Reaction score
0
KAGERA MPOOO!!

Baada ya Shughuli za Bunge kuahirishwa,sasa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa Kagera Mhe. Oliver D. Semuguruka (Twiga) anakuja kufanya Ziara katika Wilaya zote za Mkoa Kagera.

“ Kiongozi bora ni yule aliye karibu na anaowaongoza.” Ni Imani yangu kuwa kila mmoja ni shuhuda wa namna ambavyo Mheshimiwa Twiga ameendelea kuwa karibu na wanakagera katika nyakati zote.


#TunaongeaKwaVitendo
#UWT Imara
#WanawakeNiJeshiKubwa
#KageraNiYetu; Tushirikiane Kuijenga
#SamiaNaOliver; KaziIendelee
#ShirikiUchaguziWaSerikaliZaMitaa

ZIARA2.jpg
 
KAGERA MPOOO!!

Baada ya Shughuli za Bunge kuahirishwa,sasa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa Kagera Mhe. Oliver D. Semuguruka (Twiga), anakuja kufanya Ziara katika Wilaya zote za Mkoa Kagera.

“ Kiongozi bora ni yule aliye karibu na anaowaongoza.” Ni Imani yangu kuwa kila mmoja ni shuhuda wa namna ambavyo Mheshimiwa Twiga ameendelea kuwa karibu na wanakagera katika nyakati zote.”


#TunaongeaKwaVitendo
#UWT Imara
#WanawakeNiJeshiKubwa
#KageraNiYetu; Tushirikiane Kuijenga
#SamiaNaOliver; KaziIendelee
#ShirikiUchaguziWaSerikaliZaMitaa
ZIARA2.jpg
 
Huyu manzi ni kisu ile laana. Aendelee tu kuteuliwa ili bunge letu liendelee kuwa na visu. Kuna wakati nilisikia mzee wa tozo anamega nikapata wivu wa karne...
 
KAGERA MPOOO!!

Baada ya Shughuli za Bunge kuahirishwa,sasa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa Kagera Mhe. Oliver D. Semuguruka (Twiga) anakuja kufanya Ziara katika Wilaya zote za Mkoa Kagera.

“ Kiongozi bora ni yule aliye karibu na anaowaongoza.” Ni Imani yangu kuwa kila mmoja ni shuhuda wa namna ambavyo Mheshimiwa Twiga ameendelea kuwa karibu na wanakagera katika nyakati zote.


#TunaongeaKwaVitendo
#UWT Imara
#WanawakeNiJeshiKubwa
#KageraNiYetu; Tushirikiane Kuijenga
#SamiaNaOliver; KaziIendelee
#ShirikiUchaguziWaSerikaliZaMitaa

View attachment 3039001
Anayejua alichangia nini cha maana bungeni zaidi ya kuchukua posho atuwekee clip.
Viti maalumu wa Fisiemu wote wafuata ruzuku tuu.
 
Anayejua alichangia nini cha maana bungeni zaidi ya kuchukua posho atuwekee clip.
Viti maalumu wa Fisiemu wote wafuata ruzuku tuu.
Fuatilia michango yake bungeni na maswali yake yote. Huyo sio Mbunge wa kukaa tu kimya Bungeni. Waulize watu wa Kagera watakuambia.Lakini pia unaweza tu kufatilia kupitia Mitandao ya kijamii mchango wake Bungeni
 
Eti twiga, mboga mboga mna ujinga mwingi sana
 
Huyu manzi ni kisu ile laana. Aendelee tu kuteuliwa ili bunge letu liendelee kuwa na visu. Kuna wakati nilisikia mzee wa tozo anamega nikapata wivu wa karne...
Chakula ya mvaa maskafu shingoni hadi kainunulia NISAAN V 8 rangi ya Maroon plate number TWIGA
 
KAGERA MPOOO!!

Baada ya Shughuli za Bunge kuahirishwa,sasa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa Kagera Mhe. Oliver D. Semuguruka (Twiga) anakuja kufanya Ziara katika Wilaya zote za Mkoa Kagera.

“ Kiongozi bora ni yule aliye karibu na anaowaongoza.” Ni Imani yangu kuwa kila mmoja ni shuhuda wa namna ambavyo Mheshimiwa Twiga ameendelea kuwa karibu na wanakagera katika nyakati zote.


#TunaongeaKwaVitendo
#UWT Imara
#WanawakeNiJeshiKubwa
#KageraNiYetu; Tushirikiane Kuijenga
#SamiaNaOliver; KaziIendelee
#ShirikiUchaguziWaSerikaliZaMitaa

View attachment 3039001
Anaenda kuwachora wale wanawake masikini, na kuzuga wako wote, kwa kifupi huu muda nu muda wa Assimilation policy kama ya Mreno
 
Back
Top Bottom