Charlisious
New Member
- Jun 15, 2020
- 3
- 0
KAGERA MPOOO!!
Baada ya Shughuli za Bunge kuahirishwa,sasa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa Kagera Mhe. Oliver D. Semuguruka (Twiga) anakuja kufanya Ziara katika Wilaya zote za Mkoa Kagera.
“ Kiongozi bora ni yule aliye karibu na anaowaongoza.” Ni Imani yangu kuwa kila mmoja ni shuhuda wa namna ambavyo Mheshimiwa Twiga ameendelea kuwa karibu na wanakagera katika nyakati zote.
#TunaongeaKwaVitendo
#UWT Imara
#WanawakeNiJeshiKubwa
#KageraNiYetu; Tushirikiane Kuijenga
#SamiaNaOliver; KaziIendelee
#ShirikiUchaguziWaSerikaliZaMitaa
Baada ya Shughuli za Bunge kuahirishwa,sasa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa Kagera Mhe. Oliver D. Semuguruka (Twiga) anakuja kufanya Ziara katika Wilaya zote za Mkoa Kagera.
“ Kiongozi bora ni yule aliye karibu na anaowaongoza.” Ni Imani yangu kuwa kila mmoja ni shuhuda wa namna ambavyo Mheshimiwa Twiga ameendelea kuwa karibu na wanakagera katika nyakati zote.
#TunaongeaKwaVitendo
#UWT Imara
#WanawakeNiJeshiKubwa
#KageraNiYetu; Tushirikiane Kuijenga
#SamiaNaOliver; KaziIendelee
#ShirikiUchaguziWaSerikaliZaMitaa