Mbunge wa viti maalum Zanzibar, Tauhida Gallos ameeleza kuwa dunia inapaswa kuangalia mfumo wa chama cha mapinduzi kama mfano katika uongozi kwani chama hicho kina sifa za kipekee
View attachment 3226747
Sasa kwa la ajabu gani lilifanywa na CCM hadi watizamwe kama mfano?