Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Matatizo hayaondoki kwa maombi!Mzee Bwege mbunge wa zamani wa CUF, anaumwa na amekatwa mguu kutokana na maradhi yaliyokuwa yanamsumbua.
Vyombo vya habari vya Tanzania vimeripoti.
View attachment 2905898
View attachment 2905900
Natoa wito kwa wadau wa jf na wengine tumuombee ili apate nafuu haraka
amenKitambo
Mungu amjalie Afya njema
HayaMatatizo hayaondoki kwa maombi!
Ingekuwa maombi yanatoa shida, watu wangekaa tu, waombe V8, ajira, pesa, kama bakheresa,
Matatizo yanaondoka kwa, kufanya kazi, hata tukiomba, kama ni wa kufa, atakufa tu!
Mungu amfanyie wepesi mtumishi wakeMzee Bwege mbunge wa zamani wa CUF, anaumwa na amekatwa mguu kutokana na maradhi yaliyokuwa yanamsumbua.
Vyombo vya habari vya Tanzania vimeripoti.
View attachment 2905898
View attachment 2905900
Natoa wito kwa wadau wa jf na wengine tumuombee ili apate nafuu haraka
AminaHakika Allah amfanyie wepesi
Kumuombea Mtu maana yake ni Good Wishes juu yake. Haiondoi kuwa tayari kakatwa mguu lakini kibinadamu inatia moyo na Faraja.Matatizo hayaondoki kwa maombi!
Ingekuwa maombi yanatoa shida, watu wangekaa tu, waombe V8, ajira, pesa, kama bakheresa,
Matatizo yanaondoka kwa, kufanya kazi, hata tukiomba, kama ni wa kufa, atakufa tu!
Kila kitu kinawezekana Kwake aaaminiye.kama huamini yeye(kristo)ni wa kiaminiwaMatatizo hayaondoki kwa maombi!
Ingekuwa maombi yanatoa shida, watu wangekaa tu, waombe V8, ajira, pesa, kama bakheresa,
Matatizo yanaondoka kwa, kufanya kazi, hata tukiomba, kama ni wa kufa, atakufa tu!