BVR 2015
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 344
- 713
Aliekuwa Mbunge wa CCM kutokea Jimbo la Mufindi Kusini Ndugu Mendrad Kigola amezuiwa na uongozi wa Chama cha Mapinduzi katika wilaya ya Mufindi kugawa Baiskeli alizozileta katika ofisi ya CCM Mafinga Mjni
Kiongozi huyo wa zamani alitaka kugawa baiskeli kwa wajumbe wa kata, vijiji na vitongoji katika jimbo lake la uchaguzi
Kiongozi huyo wa zamani alitaka kugawa baiskeli kwa wajumbe wa kata, vijiji na vitongoji katika jimbo lake la uchaguzi