Nawaza ndugai sijui ile fimbo yake ipo?🤭🤭🤭 Mgombeya mwenza ajiandae tuu kutandikwaChizi Sana haya majitu
MiphonexCcm bana, imagine mtu mzima anahongwa baiskeli.
Yehodaya sijui unafeki wap mluguru wewe..!!.CCM wamefanya vizuri kuzikataa baiskeli zenyewe ni za akina mama hizo sio za wanaume
baiskeli za wanawake ziko hivi
View attachment 1502388
za wanaume huwa zinakuwa hivi
View attachment 1502390
naona hajui hata tofauti ya baiskeli za kike na kiume
ZA KIKE huwa hamna bomba ya kunyooka kutoka kiti kuelekea kwenye usukani za kiume huwa na bomba la kunyooka
Dah! Leo ndio nimetambua kwamba kuna bike "ke na me." Haya tujuze na gari "ke na me"CCM wamefanya vizuri kuzikataa baiskeli zenyewe ni za akina mama hizo sio za wanaume
baiskeli za wanawake ziko hivi
View attachment 1502388
za wanaume huwa zinakuwa hivi
View attachment 1502390
naona hajui hata tofauti ya baiskeli za kike na kiume
ZA KIKE huwa hamna bomba ya kunyooka kutoka kiti kuelekea kwenye usukani za kiume huwa na bomba la kunyooka
CCM bila rushwa haiwezekani.CCM wamefanya vizuri kuzikataa baiskeli zenyewe ni za akina mama hizo sio za wanaume
baiskeli za wanawake ziko hivi
View attachment 1502388
za wanaume huwa zinakuwa hivi
View attachment 1502390
naona hajui hata tofauti ya baiskeli za kike na kiume
ZA KIKE huwa hamna bomba ya kunyooka kutoka kiti kuelekea kwenye usukani za kiume huwa na bomba la kunyooka
Ukishakuwa ccm tu unakuwa fyatu! Muangalie Bashiru,Polepole na Kabudi. Huwezi kuwatofautisha na BashiteAkili za ccm wengine sijui wanawaza kwa kutumia nn? Saizi wamekuja na mbinu ya baiskeli
Baiskeli zenyewe ni VIMEOAkili za ccm wengine sijui wanawaza kwa kutumia nn? Saizi wamekuja na mbinu ya baiskeli
Mbona yule waziri wa kule Jirani na igunga aligawa juzi juzi hamkuhoji?Alikuwa wapi miaka yote 5, anakuja kugawa sasa hivi?