Pre GE2025 Mbunge wa zamani wa Sumbawanga: Viongozi msing'ang'anie kukaa bungeni muda mrefu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Mwanasiasa mkongwe aliyewahi kuwa M bunge wa Sumbawanga, Paul Kimiti, amesema wanasiasa wanatakiwa kukaa bungeni kwa muda maalum na kuondoka wakiwa bado wanahitajika na wananchi, badala ya kusubiri hadi wachokwe.

Kimiti amesema si vizuri kukaa muda mrefu bungeni, na kwamba hata yeye aliamua kupumzika kwa hiyari yake, jambo ambalo limemsaidia kuwa na afya njema.

Your browser is not able to display this video.
 
Ni vizuri na ubunge kuwe na term limit ya miaka 10, hii itaondoa machawa na majizi ya mali za umma.
 
Pia.....posho źiounguzwe iwe kazi kujitolea uwe kazi au biashara mbadalaaa
Mishahara ya wabunge isizidi 1.5M, posho kwenye vikao walipe per diem pekee na siyo per diem + sitting allowance, pension isizidi milioni 25 baada ya miaka 5.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…