Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
no commentAliyekuwa mbunge wa vunjo mwaka 2000 - 2005 Meja Jesse Jeremiah Makundi (TLP) amefariki dunia leo alfajiri Kilema Hospital alipokuwa akipata matibabu.
Pia alipata kuwa Diwani wa Mwika Kaskazini
Duh mungu anisamehe Mimi nikajua Mzee Lyatonga Agustino Mrema
Pole kwa familia aliyo iwacha hapa dunia niAliyekuwa mbunge wa vunjo mwaka 2000 - 2005 Meja Jesse Jeremiah Makundi (TLP) amefariki dunia leo alfajiri Kilema Hospital alipokuwa akipata matibabu.
Pia alipata kuwa Diwani wa Mwika Kaskazini
Umeandika kwa chuki sana.Dead and gone. RIP
R.I.P MhAliyekuwa mbunge wa vunjo mwaka 2000 - 2005 Meja Jesse Jeremiah Makundi (TLP) amefariki dunia leo alfajiri Kilema Hospital alipokuwa akipata matibabu.
Pia alipata kuwa Diwani wa Mwika Kaskazini
Chuki gani tena mkuu, kama nimekukwaza niwie radhi.Umeandika kwa chuki sana.
Muachane na huu ujinga basi , kwan nani kakwambia mtu akichanja hafi? Yapo magonjwa mengi yanayoua na c korona pekee , eleweni hiloR.I.P Mh
Alikuwa hajachanja?
Nitakuwia radhi tu ukinirushia elfu 50Chuki gani tena mkuu, kama nimekukwaza niwie radhi.
Hahahah.Nitakuwia radhi tu ukinirushia elfu 50