Mbunge wako anawasilisha matatizo ya jimbo lenu Bungeni? Wa Dodoma ni bubu, miradi ya kuboresha jiji inamsitiri

Mbunge wako anawasilisha matatizo ya jimbo lenu Bungeni? Wa Dodoma ni bubu, miradi ya kuboresha jiji inamsitiri

ryan riz

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
423
Reaction score
683
Mbunge wa Dodoma jiji Mheshimiwa Anthony Peter Mavunde ni garasa hata sijui bungeni huwa anaenda kufanya nini,bubu si bubu,sijui mkimya sijui ni mpole yaani haeleweki.

Bila hii miradi ya kuboresha Makao Makuu sijui hata ingekuwaje? Barababa nyingi bado hazipitiki, sehemu inayohitiji hata makaravati kuunganisha mitaa napo shida je pangihitaji madaraja angeweza? Maji ni shida tupu, sehemu nyingi huduma hajifikiwa na huduma ya maji na ni ndani ya kilomita ambazo hazizidi kilomita 18 toka katikati ya jiji!

Pale palipokuwa na huduma ya maji imefika lakini hayatoki. Tuna shida nyingi tu ila MBUNGE WETU BUBU BUNGENI.

bungeni.jpg

JE, NYIE WABUNGE WENU VIPI HUKO?
 
hivi mahera unashuhudia ujinga wa kazi yake?
 
Bunge lililopita wakati akiwa naibu waziri aliwanunulia gari la kuzikania, Bunge hili akiwa mbunge wa kawaida nimeona leo kagawa sare za kuendeshea bajaji
 
Mbunge wa Dodoma jiji Mheshimiwa Anthony Peter Mavunde ni garasa hata sijui bungeni huwa anaenda kufanya nini,bubu si bubu,sijui mkimya sijui ni mpole yaani haeleweki.

Bila hii miradi ya kuboresha Makao Makuu sijui hata ingekuwaje? Barababa nyingi bado hazipitiki, sehemu inayohitiji hata makaravati kuunganisha mitaa napo shida je pangihitaji madaraja angeweza? Maji ni shida tupu, sehemu nyingi huduma hajifikiwa na huduma ya maji na ni ndani ya kilomita ambazo hazizidi kilomita 18 toka katikati ya jiji!

Pale palipokuwa na huduma ya maji imefika lakini hayatoki. Tuna shida nyingi tu ila MBUNGE WETU BUBU BUNGENI.


JE, NYIE WABUNGE WENU VIPI HUKO?
Samahani, hivi mbunge wa kinondoni ni nani?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mbunge wa Dodoma jiji Mheshimiwa Anthony Peter Mavunde ni garasa hata sijui bungeni huwa anaenda kufanya nini,bubu si bubu,sijui mkimya sijui ni mpole yaani haeleweki.

Bila hii miradi ya kuboresha Makao Makuu sijui hata ingekuwaje? Barababa nyingi bado hazipitiki, sehemu inayohitiji hata makaravati kuunganisha mitaa napo shida je pangihitaji madaraja angeweza? Maji ni shida tupu, sehemu nyingi huduma hajifikiwa na huduma ya maji na ni ndani ya kilomita ambazo hazizidi kilomita 18 toka katikati ya jiji!

Pale palipokuwa na huduma ya maji imefika lakini hayatoki. Tuna shida nyingi tu ila MBUNGE WETU BUBU BUNGENI.


JE, NYIE WABUNGE WENU VIPI HUKO?
Nadhani huyo dogo ni waziri ...hivyo hawezi kusimama kuzungumza Kama Mbunge
 
angalau ameanza kujitutumua km mnavyoona post zake,ni aibu sana vitu vingne mbunge akishindwa katika eneo lake
 
Mbunge wa Dodoma jiji Mheshimiwa Anthony Peter Mavunde ni garasa hata sijui bungeni huwa anaenda kufanya nini,bubu si bubu,sijui mkimya sijui ni mpole yaani haeleweki.

Bila hii miradi ya kuboresha Makao Makuu sijui hata ingekuwaje? Barababa nyingi bado hazipitiki, sehemu inayohitiji hata makaravati kuunganisha mitaa napo shida je pangihitaji madaraja angeweza? Maji ni shida tupu, sehemu nyingi huduma hajifikiwa na huduma ya maji na ni ndani ya kilomita ambazo hazizidi kilomita 18 toka katikati ya jiji!

Pale palipokuwa na huduma ya maji imefika lakini hayatoki. Tuna shida nyingi tu ila MBUNGE WETU BUBU BUNGENI.


JE, NYIE WABUNGE WENU VIPI HUKO?
kwani hao wanaoongea sana bungeni umetembelea majimbo yao ukaona yana hali gani?
 
kwani hao wanaoongea sana bungeni umetembelea majimbo yao ukaona yana hali gani?
we si mkazi wa dodoma jiji,me naongelea sehemu yangu..shida ziko nying jimbon kwake..hatoi hela mfukoni kwake! Anachopaswa ni kupgia kelele kero zote tulizomtuma na anazazoziona hata yeye ili zitatuliwe..hata kama hatozimaliza zote ila wananchi wake tutaziona juhud zake..Hao wengne unaowasemea wewe wao hupigia kelele maslahi ya chama ila hawana habari na wananchi wao sababu wananchi wao ni MAPOYOYO
 
Back
Top Bottom