Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
Wanu Hafidh Ameir, Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwanamke Initiative Foundation (MIF) na Mbunge wa Viti Maalum (Zanzibar) Amepokea Cheti Maalum cha kutambua mchango wake wa kuhamasisha Utunzaji wa Mazingira katika Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani 2024.
Wanu Hafidh Ameir amepokea Cheti hicho kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) alichokabidhiwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango ikiwa ni kutambua mchango wa Mwanamke Initiative Foundation na Guangzhou Iceberg Environmental Consulting Services Co. Ltd
"Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani 2024 - Mwanamke Initiatives Foundation ikishirikiana na Guangzhou Iceberg Environmental Consulting Services Co. Ltd tumetunukiwa Cheti kutoka Ofisi ya Makamo wa Rais (Muungano na Mazingira) kilichopokelewa na Mhe. Wanu Hafidh Ameir, Mweneyekiti wa taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation, kwa kazi nzuri tunayofanya ya kutunza mazingira kwa kushajihisha na kuwezesha matumizi ya Upishi Salama (Clean Cooking) kwa jamii" - MIF
#MwanamkeInitiativesFoundation
#CleanCooking
Wanu Hafidh Ameir amepokea Cheti hicho kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) alichokabidhiwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango ikiwa ni kutambua mchango wa Mwanamke Initiative Foundation na Guangzhou Iceberg Environmental Consulting Services Co. Ltd
"Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani 2024 - Mwanamke Initiatives Foundation ikishirikiana na Guangzhou Iceberg Environmental Consulting Services Co. Ltd tumetunukiwa Cheti kutoka Ofisi ya Makamo wa Rais (Muungano na Mazingira) kilichopokelewa na Mhe. Wanu Hafidh Ameir, Mweneyekiti wa taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation, kwa kazi nzuri tunayofanya ya kutunza mazingira kwa kushajihisha na kuwezesha matumizi ya Upishi Salama (Clean Cooking) kwa jamii" - MIF
#MwanamkeInitiativesFoundation
#CleanCooking