bad spenko Senior Member Joined Jun 22, 2020 Posts 125 Reaction score 139 Mar 27, 2021 #1 Wakuu mwanzilishi na mbunifu wa soka ni nani? Na ulianza ktk taifa ganj na mwaka gani. Karibuni
Utopologist JF-Expert Member Joined Feb 17, 2021 Posts 998 Reaction score 2,506 Mar 27, 2021 #2 Angalia tamthilia ya netflix inaitwa 'the english game' utapata majibu yako.
I Imeloa JF-Expert Member Joined Jan 28, 2013 Posts 14,885 Reaction score 18,083 Mar 28, 2021 #3 Watu wengine nao ni wavivu sana si uingie tu kwenye Google uangalie hilo nalo swali unakuja kutuuliza humu. Nonsense kabisa.
Watu wengine nao ni wavivu sana si uingie tu kwenye Google uangalie hilo nalo swali unakuja kutuuliza humu. Nonsense kabisa.