Taa ya check engen imeshawa hapo na hana habari.
Hivi huyu ni dada ni mama...
Ha ha ha hivi huwa anafanya shughuli gani hukoHuyo mbibi atakua anaishi nyumba za wazee huko halafu inaonekana maisha yamempiga mpka kudata, kurudi huku hawezi nauli nayo shida
Ha ha ha hivi huwa anafanya shughuli gani huko
Teh akili zake anazijua mwenyewe...Naskia mortuary c unaona akili zake zilivyo anakoelekea anaweza kunywa sumu huyo.
Teh akili zake anazijua mwenyewe...