CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Mbuzi wa aina ya Isiolo au Gala ni mbuzi weupe ba wenye maombo makubwa ni wazuri sana kwa ajili ya nyama na sanapatikana sana nchini Kenya.
Pia kuna Kondoo Black Head au Doper ambao asili yake ni South Africa, gawa ni kondoo wa nyama ni wakubwa sana, na hawa pia unaweza wapata nchini Kenta na pia Mbuzi wa Maziwa.
Hawa mifugo unaweza waingiza Tanzania kupitia Namanga au Tarakea na kwa kibali cha idara ya mifugo.
Ni mbegu nzuri sana za kuwa nazo shambani kwako.
View attachment 2320469View attachment 2320472View attachment 2320473View attachment 2320475View attachment 2320477
Pia kuna Kondoo Black Head au Doper ambao asili yake ni South Africa, gawa ni kondoo wa nyama ni wakubwa sana, na hawa pia unaweza wapata nchini Kenta na pia Mbuzi wa Maziwa.
Hawa mifugo unaweza waingiza Tanzania kupitia Namanga au Tarakea na kwa kibali cha idara ya mifugo.
Ni mbegu nzuri sana za kuwa nazo shambani kwako.
View attachment 2320469View attachment 2320472View attachment 2320473View attachment 2320475View attachment 2320477