[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Gwajima katafunwa,Abood katafunwa,naogopa kumtaja anayefuata kutafunwa,sijui kwanini mbuzi wanawatafuna sana wagombea wa ccm
Unabii kama mwaka huu tutashindwa kusikia sauti ya Mungu tusilalamike tenaHapa mbuzi wanajua kuwa CCM ni chama dhalimu...