Mbuzi kaniraruria kijikeka changu

Mbuzi kaniraruria kijikeka changu

mcshonde

Member
Joined
Jul 15, 2022
Posts
66
Reaction score
154
Acha niandike kimipasho. Yaani ronaldo analipwa pesa nyingi na kashindwa kuipa ushindi timu yake jana...wakafungwa 3-1 na Al Ittihad wakiwa nusu fainali ya Saudi Super Cup. Huyu sio mbuzi wangu tena..nilimuamini na nilikuwa nimemuwekea dau sehemu...kaniuzi. Kama mwisho wa career yake ndio huu basi sio poa.
ronaldo.jpeg
 
Acha niandike kimipasho. Yaani ronaldo analipwa pesa nyingi na kashindwa kuipa ushindi timu yake jana...wakafungwa 3-1 na Al Ittihad wakiwa nusu fainali ya Saudi Super Cup. Huyu sio mbuzi wangu tena..nilimuamini na nilikuwa nimemuwekea dau sehemu...kaniuzi. Kama mwisho wa career yake ndio huu basi sio poa.
View attachment 2497309
Naomba nikujibu kwa kizungu… 😂😂 wanasema Ronaldo being a GOAT is your opinion but Messi being GOAT is fact
 
Inawezakani akawa amechoka vile msemavyo lakini je anacheza peke yake au waliomzunguka wana ubora hata nusu ya uwezo wake.
Otherwise hatuna tunachomdai CR7 kwenye soccer hayo mengine ni unafiki mtupu na chuki juu yake.
 
Back
Top Bottom