mcshonde
Member
- Jul 15, 2022
- 66
- 154
Acha niandike kimipasho. Yaani ronaldo analipwa pesa nyingi na kashindwa kuipa ushindi timu yake jana...wakafungwa 3-1 na Al Ittihad wakiwa nusu fainali ya Saudi Super Cup. Huyu sio mbuzi wangu tena..nilimuamini na nilikuwa nimemuwekea dau sehemu...kaniuzi. Kama mwisho wa career yake ndio huu basi sio poa.