mkada
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,200
- 907
Picha waliyoiweka kwenye akaunti yao (Wataliban) ya Twitter, inaonyesha Mbwa mdogo wa hudhurungi akiwa na kamba ndogo shingoni. Taliban wanasema kuwa Mbwa huyo kwa jina, 'Kanali' alikamatwa usiku wakati wa msako uliofanywa mwezi Disemba. Mbwa huyo alikuwa na tochi ndogo, kamera na kifaa cha GPS.
Pia walionyesha silaha walizonasa wakati wa msako huo, ambazo hutumiwa na kikosi maalum cha jeshi la Marekani. Mwandishi wa BBC anasema kuwa kumekuwa na taarifa za kiongozi wa Taliban katika eneo hilo kuonekana akiwa na Mbwa huyo ambaye sasa ni mfungwa wa kivita.
Source:BBC
Swali kwa wataalamu wa International Humanitarian Law, Je, mbwa anaweza kuwa mateka wa kivita, na akapewa stahili na haki zote kama mateka wa kivita wa kawaida na nchi iliyomkamata??

Pia walionyesha silaha walizonasa wakati wa msako huo, ambazo hutumiwa na kikosi maalum cha jeshi la Marekani. Mwandishi wa BBC anasema kuwa kumekuwa na taarifa za kiongozi wa Taliban katika eneo hilo kuonekana akiwa na Mbwa huyo ambaye sasa ni mfungwa wa kivita.
Source:BBC
Swali kwa wataalamu wa International Humanitarian Law, Je, mbwa anaweza kuwa mateka wa kivita, na akapewa stahili na haki zote kama mateka wa kivita wa kawaida na nchi iliyomkamata??
