Mbwa:Anaweza kuwa Mateka wa Kivita (POW) ?

Mbwa:Anaweza kuwa Mateka wa Kivita (POW) ?

mkada

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
1,200
Reaction score
907
Picha waliyoiweka kwenye akaunti yao (Wataliban) ya Twitter, inaonyesha Mbwa mdogo wa hudhurungi akiwa na kamba ndogo shingoni. Taliban wanasema kuwa Mbwa huyo kwa jina, 'Kanali' alikamatwa usiku wakati wa msako uliofanywa mwezi Disemba. Mbwa huyo alikuwa na tochi ndogo, kamera na kifaa cha GPS.

Pia walionyesha silaha walizonasa wakati wa msako huo, ambazo hutumiwa na kikosi maalum cha jeshi la Marekani. Mwandishi wa BBC anasema kuwa kumekuwa na taarifa za kiongozi wa Taliban katika eneo hilo kuonekana akiwa na Mbwa huyo ambaye sasa ni mfungwa wa kivita.

Source:BBC

Swali kwa wataalamu wa International Humanitarian Law, Je, mbwa anaweza kuwa mateka wa kivita, na akapewa stahili na haki zote kama mateka wa kivita wa kawaida na nchi iliyomkamata??


download.jpg
 
hao matalibani sio siri wanalaana pamoja na radi
 
Katika shule yangu ya humanitarian law sikuwai kuona kama mmnyama (mbwa) anastatus ya combatant kwenye battle field...ngoja nifungue madesa I will be back
 
[h=4]Article 4[/h] A. Prisoners of war, in the sense of the present Convention, are persons belonging to one of the following categories, who have fallen into the power of the enemy:
1. Members of the armed forces of a Party to the conflict as well as members of militias or volunteer corps forming part of such armed forces.
2. Members of other militias and members of other volunteer corps, including those of organized resistance movements, belonging to a Party to the conflict and operating in or outside their own territory, even if this territory is occupied, provided that such militias or volunteer corps, including such organized resistance movements, fulfil the following conditions:
(a) That of being commanded by a person responsible for his subordinates;
(b) That of having a fixed distinctive sign recognizable at a distance;
(c) That of carrying arms openly;
(d) That of conducting their operations in accordance with the laws and customs of war.
3. Members of regular armed forces who profess allegiance to a government or an authority not recognized by the Detaining Power.
4. Persons who accompany the armed forces without actually being members thereof, such as civilian members of military aircraft crews, war correspondents, supply contractors, members of labour units or of services responsible for the welfare of the armed forces, provided that they have received authorization from the armed forces which they accompany, who shall provide them for that purpose with an identity card similar to the annexed model.
5. Members of crews, including masters, pilots and apprentices, of the merchant marine and the crews of civil aircraft of the Parties to the conflict, who do not benefit by more favourable treatment under any other provisions of international law.
6. Inhabitants of a non-occupied territory, who on the approach of the enemy spontaneously take up arms to resist the invading forces, without having had time to form themselves into regular armed units, provided they carry arms openly and respect the laws and customs of war.

Hiyo hapo juu ni article 4 ya Geneva convention kuhusu wafungwa wa kivita(POWs)

Natumai itakusaidia
 
Ukishasema Humantarian Law its obvious haiwez kukupa jibu la kiumbe kama Mbwa cz yenyewe imespecialize kwenye "Human" as the word Humantarian was derived from a word "human".
POWs utapata status yao vzur kwenye Geneva convention na Marshall law. Mbwa anaweza kua POW kama atakua member wa combat unit mfano cairo aliyeshiriki Operation Neptune Spear against bin Laden had a Military rank so ni member wa Armed forces.
As a member of armed forces mbwa akifa huzikwa kwa heshima zote za kijeshi kama mwanadamu wa kawaida na pia hupata Military promotion wanapofanya "act of velor" mfano Cairo alitunikiwa nishani ya ushujaa na Obama alingside other SEALs Commanders.
 
Back
Top Bottom