Ofsa Kidali
JF-Expert Member
- Oct 24, 2021
- 212
- 119
Habari za muda huu wakuu, hongereni kwa mapambano ya usiku na mchana kuendelea kuifanya nchi yetu na dunia kwa ujumla kuwa sehemu bora na salama.
Iko hivi, nina mpango wa kufuga mbwa shambani kwa sababu sio siku nyingi nitaweka mifugo mingi kiasi lakini bado hakuna uzio(fence), sasa kuna jamaa yangu kaniambia kwamba nitakachokifanya itakuwa ni kutwanga maji kwenye kinu kwani mbwa huwa wana kawaida ya kujisalimisha wenyewe kwa chatu kwa ajili ya kumezwa(kuna vichaka vingi na vikubwa maeneo yanayolizunguka shamba). Hii ina ukweli wowote?
Kama ishu ni aina ya mbwa na mafunzo ni kwamba ninafikiria kati ya boerboel, GS au Doberman pinscher na nitawagharamiamafunzo.
Ushauri wenu tafadhali 🙏.
Iko hivi, nina mpango wa kufuga mbwa shambani kwa sababu sio siku nyingi nitaweka mifugo mingi kiasi lakini bado hakuna uzio(fence), sasa kuna jamaa yangu kaniambia kwamba nitakachokifanya itakuwa ni kutwanga maji kwenye kinu kwani mbwa huwa wana kawaida ya kujisalimisha wenyewe kwa chatu kwa ajili ya kumezwa(kuna vichaka vingi na vikubwa maeneo yanayolizunguka shamba). Hii ina ukweli wowote?
Kama ishu ni aina ya mbwa na mafunzo ni kwamba ninafikiria kati ya boerboel, GS au Doberman pinscher na nitawagharamiamafunzo.
Ushauri wenu tafadhali 🙏.