Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Hahahaaaa kitaa tunawaita chiwawa🤣🤣🤣Tafuta chihuahua
Ndivyo inavyotamkwaHahahaaaa kitaa tunawaita chiwawa🤣🤣🤣
Hao wazaramo unawafuga kwa kanuni gani?Hao wakizaramo ambao huwataki
Huwa ni wazuri sana kama unajua kanuni nzuri za ufugaji mbwa,
Lakini kama hujui kanuni basi hata huyo GS utakaempata atalala mchana atalala Usiku ,atafyata mkia hata akimwona kuku ,na atakula hadi mavi ya walevi😁
Nataka wa ulinzi. Of course nitatoa asante kwa mfugaji siyo kuniuzia bei za kitalii. SiweziUngesema Mbwa unaemtaka unamtaka kwa mahitaji yapi ya ulinzi au mapambo, na huyo Mbwa unamtaka aidha awe bbl,gsd, rott, den, na wengineo unawaomba bure ama kununuwa? maana kumtunza mpaka aje kuzaa wewe upatiwe puppy sio kazi ndogo ndugu yangu. Hebu fafanuwa vyema ili watu tujue hitaji lako limesiamamje tuweze kukusaidia. Mbwa wana gharama na nilazima uzikubali ili upate kilicho bora.
Kwa nini anaitwa hivyo au anafaa sana?Huyo wa kizaramo anaitwa mshenzi. Asili yake ni Africa. Anafaa sana.
Ni mbwa wa asili wa Africa. So anafaa mazingira ya huku.Kwa nini anaitwa hivyo au anafaa sana?
Ok. Haijawa sababu ya mimi kuwapenda. Wengi ni wadogo wadogo na hawana ukali.Ni mbwa wa asili wa Africa. So anafaa mazingira ya huku.
sijaiona hii itakuwa ni kutoka kwenye DNA ya snooppy doggyHii specie bongo ipo?
View attachment 2818855
Hao mbwa niliwaona sana nchi za arabuni arabuni huwa wanawatumia sana kwenye mashindanoHii specie bongo ipo?
View attachment 2818855
lakini mbwa si ni kharamu?Hao mbwa niliwaona sana nchi za arabuni arabuni huwa wanawatumia sana kwenye mashindano
lakini mbwa si ni kharamu?