Mbwa na Paka walikuwa wanasafiri
kwenye gari kwenda Iringa. Wakati safari ikiendelea Paka
akamwambia Mbwa, "Binadamu ana
dharau sana, wanyama wote anaowafuga
anawala kasoro sisi tu." Mbwa akamuangalia halafu akamjibu, "Maneno hayo
ongea huku huku, tukifika Iringa funga mdomo wako
nyamaza kimya utakuja kuniponza
mjinga wee".