relis
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,336
- 5,217
Habari!
Msaada tutani. Kwenye makazi ninayoishi huku mtaani nina changamoto ya mbwa kula mayai ndani ya banda naamini kama wafugaji wenzangu mmepitia changamoto hii je mliitatuaje ushauri utakaonipenda ni kuua hicho kiumbe.
Je, nitumie dawa Gani au mbinu gani?
Msaada tutani. Kwenye makazi ninayoishi huku mtaani nina changamoto ya mbwa kula mayai ndani ya banda naamini kama wafugaji wenzangu mmepitia changamoto hii je mliitatuaje ushauri utakaonipenda ni kuua hicho kiumbe.
Je, nitumie dawa Gani au mbinu gani?