Dawa yake ni ndogo sana, kamata huyo mbwa halafu mvutishe mmea wa hayati Bob Marley.
Formular yake ni mzibe mdomo kwa nguvu, halafu kwenye tundu la pua chomeka mkia wa panya uliokwisha washwa. Atapaliwa mpaka atajamba mwanzoni sambamba na kujisikia kama anatembelewa na siafu sehemu za siri, pia ataonesha dalili za yeye kujiona kama ndio boss wako aliekuajiri na kukulipa mshahara.
Ila akitoka hapo salaaaleee atakimbiza mpaka kivuli chake mwenyewe.