Mbwana bora ungebaki TP Mazembe

Ni njia rahis sana ya kuonekana kama atakuwa na bidiiii
 
Ngoja leo timu yake namshuhudia.... awaachie Kasusura na Traore TP mazembe yao.... Hata harufu ya Belgium sio sawa na harufu ya Mabomu ya DRC
 
Ubelgiji ni taifa la ngapi kwa ubora wa soka duniani? tuanzie hapo kwanza.
Mamaa yanguuu we nadhani kwa mwezi ulioisha wako nafasi ya 4 wakuu kuweni serious yaani taifa analotoka Hazard,Kelvin de,Mignolet,Origi,Lukaku ufananishe na upuuzi wa ligi ya Vodacom shubamaat
 
Mamaa yanguuu we nadhani kwa mwezi ulioisha wako nafasi ya 4 wakuu kuweni serious yaani taifa analotoka Hazard,Kelvin de,Mignolet,Origi,Lukaku ufananishe na upuuzi wa ligi ya Vodacom shubamaat

Huyo jamaa angejua nafas ya tz na ubelgij kwenye viwango vya ubora asingeandika huo upuuz ukiachilia mbali mshahara anaopokea
 
Hii ni chuki ya wazi kabisa mkuu! Si ajabu wewe unataka awe kama Ngasa sio?
 
Hii ligi ya Belgium ina tofaut na bongo kweli?[emoji1] [emoji1]
Jamaa inaonekana anawivu wa asili kabsa
Wew ni type za Watu ambao mnaenda kwa waganga ili mloge Watu, nyambaf Sana wew
 
Daaahhh Mkuu umebugi vibaya kama vp kajipange upya
[emoji123]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…