Mbwana Kombo wa Tanga, kada wa CHADEMA bado hajapata dhamana, inadaiwa Mawakili walinyimwa ushirikiano na Hakimu Moses Maroa

Mbwana Kombo wa Tanga, kada wa CHADEMA bado hajapata dhamana, inadaiwa Mawakili walinyimwa ushirikiano na Hakimu Moses Maroa

Idimulwa

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2011
Posts
4,944
Reaction score
2,459
UPDATES

KUHUSU KOMBO MBWANA TWAHA,GEREZA LA MAWENI TANGA.

Timu ya mawakili waliopiga kambi Jijini Tanga ikiongozwa na Wakili Peter Kibatala, Wakili Michael Lugina na Wakili Deogratius Mahinyila katika kesi ya Jinai namba 000019759 ya mwaka 2024 ya Jamuhuri dhidi ya Kombo Mbwana Twaha.

Leo tarehe 18 july 2024 baada ya kukamilisha taratibu za dhamana kama ilivyo amriwa na mahakama siku ya tarehe 16 July 2024.

Walienda mahakama ya Hakimu mkazi Tanga kuonana na Hakimu Mkazi Mwandamizi Mheshimiwa Moses Maroa kwa ajili ya kufanya taratibu za dhamana na kupata amri ya Mahakama ya kumtoa gerezani Kombo Mbwana Twaha (Removal order) baada ya kutimiza masharti yake yote.

Mawakili wetu walinyimwa ushirikiano na Mheshimiwa Hakimu Moses Maroa.lakini tunashukru Mahakama Kuu Kanda ya Tanga kwa kuingilia kati swala hili.

Tuna amini Mahakama kuu Kanda ya Tanga itamsimamia vyema Hakimu Mkazi Mwandamizi Tanga kutimiza majukumu yake kwa mujibu wa sheria na siyo shinikizo lolote kutoka kwa yetote
kabla Jamii haijaijumuisha Mahakama ya Tanzania kwa ujumla wake katika kundi la Watesi wa Kombo.

Mawakili wetu wameelekezwa na Mahakama kuu Kanda ya Tanga kurudi tena Mahakama ya Hakimu Mkazi Tanga kuonana na Mheshimiwa Moses Maroa kesho asubuhi kwa taratibu za dhamana.

N.B
1.Ikumbukwe Kombo Mbwana Twaha alisomewa mashitaka yake kwa siri bila uwepo wa Mawakili wake na nje ya muda wa Mahakama na Hakimu Mkazi Mwandamizi Mheshimiwa Moses Maroa

Kisha Kombo akakosa dhamana kwa sababu hakuna mtu wa karibu yake aliyejua kuhusu kufunguliwa kwa kesi hiyo. na mshitakiwa kupelekwa gereza la Maweni,Tanga muda wa usiku.

2.Jopo la Mawakili kutoka kona zote za Tanzania wamefungua kesi Mahakama kuu Kanda ya Tanga dhidi ya IGP,DPP na RPC Mkoa wa Tanga kwa kosa la kumshikilia Kombo Mbwana Twaha kwa siku 30 kinyume na sheria za nchi.

Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa mbele ya Jaji Happiness Ndesamburo siku ya tarehe 23 July 2024.

Mawakili waliojitokeza katika kesi hii mpaka sasa ni 1.Mpare Mpoki 2.Jebra Kambole 3. Hekima Mwasipu 4.Peter Madeleka 5.John Seka 6.Boniface Mwabukusi 7.Daimu Khalfani 8.Paul Kisabo 9.Fulgence Massawe na 10.Ferdinand Makore.

Chanzo: Salumu FB Page

Pia soma:Boniface Jacob: Habari mbaya kuhusu Kombo Mbwana Twaha
 
UPDATES

KUHUSU KOMBO MBWANA TWAHA,GEREZA LA MAWENI TANGA.

Timu ya mawakili waliopiga kambi Jijini Tanga ikiongozwa na Wakili Peter Kibatala, Wakili Michael Lugina na Wakili Deogratius Mahinyila katika kesi ya Jinai namba 000019759 ya mwaka 2024 ya Jamuhuri dhidi ya Kombo Mbwana Twaha.

Leo tarehe 18 july 2024 baada ya kukamilisha taratibu za dhamana kama ilivyo amriwa na mahakama siku ya tarehe 16 July 2024.

Walienda mahakama ya Hakimu mkazi Tanga kuonana na Hakimu Mkazi Mwandamizi Mheshimiwa Moses Maroa kwa ajili ya kufanya taratibu za dhamana na kupata amri ya Mahakama ya kumtoa gerezani Kombo Mbwana Twaha (Removal order) baada ya kutimiza masharti yake yote.

Mawakili wetu walinyimwa ushirikiano na Mheshimiwa Hakimu Moses Maroa.lakini tunashukru Mahakama Kuu Kanda ya Tanga kwa kuingilia kati swala hili.

Tuna amini Mahakama kuu Kanda ya Tanga itamsimamia vyema Hakimu Mkazi Mwandamizi Tanga kutimiza majukumu yake kwa mujibu wa sheria na siyo shinikizo lolote kutoka kwa yetote
kabla Jamii haijaijumuisha Mahakama ya Tanzania kwa ujumla wake katika kundi la Watesi wa Kombo.

Mawakili wetu wameelekezwa na Mahakama kuu Kanda ya Tanga kurudi tena Mahakama ya Hakimu Mkazi Tanga kuonana na Mheshimiwa Moses Maroa kesho asubuhi kwa taratibu za dhamana.

N.B
1.Ikumbukwe Kombo Mbwana Twaha alisomewa mashitaka yake kwa siri bila uwepo wa Mawakili wake na nje ya muda wa Mahakama na Hakimu Mkazi Mwandamizi Mheshimiwa Moses Maroa

Kisha Kombo akakosa dhamana kwa sababu hakuna mtu wa karibu yake aliyejua kuhusu kufunguliwa kwa kesi hiyo. na mshitakiwa kupelekwa gereza la Maweni,Tanga muda wa usiku.

2.Jopo la Mawakili kutoka kona zote za Tanzania wamefungua kesi Mahakama kuu Kanda ya Tanga dhidi ya IGP,DPP na RPC Mkoa wa Tanga kwa kosa la kumshikilia Kombo Mbwana Twaha kwa siku 30 kinyume na sheria za nchi.

Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa mbele ya Jaji Happiness Ndesamburo siku ya tarehe 23 July 2024.

Mawakili waliojitokeza katika kesi hii mpaka sasa ni 1.Mpare Mpoki 2.Jebra Kambole 3. Hekima Mwasipu 4.Peter Madeleka 5.John Seka 6.Boniface Mwabukusi 7.Daimu Khalfani 8.Paul Kisabo 9.Fulgence Massawe na 10.Ferdinand Makore.

Chanzo: Salumu FB Page
Hakuna mahaka za nje ambako serikali inaweza kushitakiwa haki ikatendeka
 
Ndio vijana wajifunze kutukana watu , wajenge hoja tu

USSR
 
Mawakili hufanya assessment na secret investigations kuwa hiyo kesi waingie kichwa kichwa au la

Wakigundua kuna issues au hidden agenda itakayo jeopardise credibility yao ya uwakili kwenye hiyo kesi wanaachana nayo

Mtuhumiwa apambane na hali yake

Mawakili sio mazombie au misukule
 
Moses Maroa atakuwa kutoka nchi jirani.
Kifupi mawakili wa Tanzania sio mazombie au hawajielewi

Hawatetei mtu bila kufanya thoroughly secret investigations wasije poteza credibility ya uwakili wao na kuvuliwa uwakili

Ukiona wako kimywa kuna kitu wamenusa hakiko sawa

Apambane na hali yake asisumbue mawakili wa Chadema
 
Mawakili hufanya assessment na secret investigations kuwa hiyo kesi waingie kichwa kichwa au la

Wakigundua kuna issues au hidden agenda itakayo jeopardise credibility yao ya uwakili kwenye hiyo kesi wanaachana nayo

Mtuhumiwa apambane na hali yake

Mawakili sio mazombie au misukule
Katika Qur'an, kutenda haki kwa mahakimu ni jukumu la msingi na linahitaji uadilifu mkubwa. Mahakimu wanapaswa kutekeleza majukumu yao kwa kufuata mafundisho ya dini na kuhakikisha haki inatendeka bila upendeleo. Hapa kuna baadhi ya mafundisho kutoka Qur'an kuhusu jukumu la mahakimu katika kutenda haki:

  1. Surat Al-Nisa'a (4:58): "Hakika Mwenyezi Mungu anawaamuru mpate kuzirejesha amana kwa wenyewe, na mtakapo wahukumu baina ya watu, mwahukumu kwa uadilifu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kufaa kufahamu kile mnachokifanya."
  2. Surat Al-Ma'idah (5:8): "Enyi mlio amini! Kuweni wasimamizi madhubuti kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, na wasimamizi madhubuti kwa ajili ya haki, wala msizidishe mambo, basi msipande juu ya kipimo. Na kuweni waungwana mnapotoa ushahidi, na heshimuni kiapo chenu. Hivyo ndivyo Mwenyezi Mungu alivyo kuonyeni ili mpate kuchunga."
 
Mawakili hufanya assessment na secret investigations kuwa hiyo kesi waingie kichwa kichwa au la

Wakigundua kuna issues au hidden agenda itakayo jeopardise credibility yao ya uwakili kwenye hiyo kesi wanaachana nayo

Mtuhumiwa apambane na hali yake

Mawakili sio mazombie au misukule
Umesoma taarifa vizuri au unataka tu kuonyesha hapa JF kwamba unafahamu vijimaneno kadhaa vya Kiingereza?!
 
Mawakili hufanya assessment na secret investigations kuwa hiyo kesi waingie kichwa kichwa au la

Wakigundua kuna issues au hidden agenda itakayo jeopardise credibility yao ya uwakili kwenye hiyo kesi wanaachana nayo

Mtuhumiwa apambane na hali yake

Mawakili sio mazombie au misukule
Duuuh, hivi ndugu umesoma kweli hii habari vizuri na ukaielewa ? Hebu irudie kuisoma kisha soma na ulichojibu
 
UPDATES

KUHUSU KOMBO MBWANA TWAHA,GEREZA LA MAWENI TANGA.

Timu ya mawakili waliopiga kambi Jijini Tanga ikiongozwa na Wakili Peter Kibatala, Wakili Michael Lugina na Wakili Deogratius Mahinyila katika kesi ya Jinai namba 000019759 ya mwaka 2024 ya Jamuhuri dhidi ya Kombo Mbwana Twaha.

Leo tarehe 18 july 2024 baada ya kukamilisha taratibu za dhamana kama ilivyo amriwa na mahakama siku ya tarehe 16 July 2024.

Walienda mahakama ya Hakimu mkazi Tanga kuonana na Hakimu Mkazi Mwandamizi Mheshimiwa Moses Maroa kwa ajili ya kufanya taratibu za dhamana na kupata amri ya Mahakama ya kumtoa gerezani Kombo Mbwana Twaha (Removal order) baada ya kutimiza masharti yake yote.

Mawakili wetu walinyimwa ushirikiano na Mheshimiwa Hakimu Moses Maroa.lakini tunashukru Mahakama Kuu Kanda ya Tanga kwa kuingilia kati swala hili.

Tuna amini Mahakama kuu Kanda ya Tanga itamsimamia vyema Hakimu Mkazi Mwandamizi Tanga kutimiza majukumu yake kwa mujibu wa sheria na siyo shinikizo lolote kutoka kwa yetote
kabla Jamii haijaijumuisha Mahakama ya Tanzania kwa ujumla wake katika kundi la Watesi wa Kombo.

Mawakili wetu wameelekezwa na Mahakama kuu Kanda ya Tanga kurudi tena Mahakama ya Hakimu Mkazi Tanga kuonana na Mheshimiwa Moses Maroa kesho asubuhi kwa taratibu za dhamana.

N.B
1.Ikumbukwe Kombo Mbwana Twaha alisomewa mashitaka yake kwa siri bila uwepo wa Mawakili wake na nje ya muda wa Mahakama na Hakimu Mkazi Mwandamizi Mheshimiwa Moses Maroa

Kisha Kombo akakosa dhamana kwa sababu hakuna mtu wa karibu yake aliyejua kuhusu kufunguliwa kwa kesi hiyo. na mshitakiwa kupelekwa gereza la Maweni,Tanga muda wa usiku.

2.Jopo la Mawakili kutoka kona zote za Tanzania wamefungua kesi Mahakama kuu Kanda ya Tanga dhidi ya IGP,DPP na RPC Mkoa wa Tanga kwa kosa la kumshikilia Kombo Mbwana Twaha kwa siku 30 kinyume na sheria za nchi.

Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa mbele ya Jaji Happiness Ndesamburo siku ya tarehe 23 July 2024.

Mawakili waliojitokeza katika kesi hii mpaka sasa ni 1.Mpare Mpoki 2.Jebra Kambole 3. Hekima Mwasipu 4.Peter Madeleka 5.John Seka 6.Boniface Mwabukusi 7.Daimu Khalfani 8.Paul Kisabo 9.Fulgence Massawe na 10.Ferdinand Makore.

Chanzo: Salumu FB Page

Pia soma:Boniface Jacob: Habari mbaya kuhusu Kombo Mbwana Twaha
Tunaona nchi ikienda kukombolewa na mawakili wa Tanzania, kwani wamepania kupigania haki kwa gharama yoyote mimi niseme kitu kimoja watanzaniavwote tuwaunge mkono wanasheria wetu utengezwe mfuko kila mwananchi achangie 1000 kwani watesi wetu wananguvu nyingi na Rasilimali za kutosha, umoja siku zote ni nguvu pia tukifanya hivyo nao watapata moyo kuwa wanaungwa mkono na wananchi na jinsi idadi ikiwa kubwa ya wananchi watakao changi hiyo pia itawaogopesha watu wanawawazia kuwafanyia mabaya wanyinge kwani watajua kuna wati wanawapigania.
 
Tunaona nchi ikienda kukombolewa na mawakili wa Tanzania, kwani wamepania kupigania haki kwa gharama yoyote, mimi niseme kitu kimoja watanzaniavwote tuwaunge mkono wanasheria wetu utengezwe mfuko kila mwananchi achangie 1000 kwani watesi wetu wananguvu nyingi na Rasilimali za kutosha, umoja siku zote ni nguvu pia tukifanya hivyo nao watapata moyo kuwa wanaungwa mkono na wananchi na jinsi idadi ikiwa kubwa ya wananchi watakao changia hiyo pia itawaogopesha watu wanao wawazia kuwafanyia mabaya wenzao kwani watajua kuna watu wanawapigania.
 
Tunaona nchi ikienda kukombolewa na mawakili wa Tanzania, kwani wamepania kupigania haki kwa gharama yoyote mimi niseme kitu kimoja watanzaniavwote tuwaunge mkono wanasheria wetu utengezwe mfuko kila mwananchi achangie 1000 kwani watesi wetu wananguvu nyingi na Rasilimali za kutosha, umoja siku zote ni nguvu pia tukifanya hivyo nao watapata moyo kuwa wanaungwa mkono na wananchi na jinsi idadi ikiwa kubwa ya wananchi watakao changi hiyo pia itawaogopesha watu wanawawazia kuwafanyia mabaya wanyinge kwani watajua kuna wati wanawapigania.
Join the chain part two
Mradi mpya wa kupiga pesa
 
Back
Top Bottom