Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Wewe ambae sio mzigo umeshindwaje kufikaa alipofika samatta?Ki ukweli Samatta ni mzigo..sijui alifikaje hapo Genk...nahisi nguvu za giza ndio zilizo msaidia.....
Ila uwanjani ni mweupe sana...Epl hawezi cheza kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Husuda na roho mbaya inakusumbua.Ki ukweli Samatta ni mzigo..sijui alifikaje hapo Genk...nahisi nguvu za giza ndio zilizo msaidia.....
Ila uwanjani ni mweupe sana...Epl hawezi cheza kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwema kaka.Mkuu kwema
Hapo sasa...................Mshambuliaji na Nahodha wa Tanzania Mbwana Samatta hali imeanza kuwa tete katika klabu yake ya KRC Genk. Hii ni kufuatia kupigwa benchi mara mbili mfululizo katika mechi za ligi.
Mechi ya kwanza ilikuwa nyumbani pale KRC Genk walipo ikalibisha Waasland Beveren, katika mechi hiyo Samatta alianzia benchi kisha dakika ya 74 akaingia.
Mechi ya pili ni hapo jana tarehe 22. RSC Anderlecht waliikalibisha KRC Genk katika uwanja wao wa nyumbani. Kama kawaida Samatta alianzia benchi Kisha kupata nafasi ya kucheza dakika ya 63. RSC Anderlecht ilishinda kwa magoli wawili kwa bila.
Nafasi ya Mbwana Samatta imechukuliwa na Mnigeria Poul Onuachu.
Je, kwa hatua ni kuonyesha kwamba kiwango cha Mbwana Samatta kimeshuka ama ni mbinu za Mwalimu.?
Mshambuliaji na Nahodha wa Tanzania Mbwana Samatta hali imeanza kuwa tete katika klabu yake ya KRC Genk. Hii ni kufuatia kupigwa benchi mara mbili mfululizo katika mechi za ligi.
Mechi ya kwanza ilikuwa nyumbani pale KRC Genk walipo ikalibisha Waasland Beveren, katika mechi hiyo Samatta alianzia benchi kisha dakika ya 74 akaingia.
Mechi ya pili ni hapo jana tarehe 22. RSC Anderlecht waliikalibisha KRC Genk katika uwanja wao wa nyumbani. Kama kawaida Samatta alianzia benchi Kisha kupata nafasi ya kucheza dakika ya 63. RSC Anderlecht ilishinda kwa magoli wawili kwa bila.
Nafasi ya Mbwana Samatta imechukuliwa na Mnigeria Poul Onuachu.
Je, kwa hatua ni kuonyesha kwamba kiwango cha Mbwana Samatta kimeshuka ama ni mbinu za Mwalimu.?
Hii timu naiheshimu maana kwenye uefa ulikuwa unaibetia magoli then unaweka kambi kwa wakala..Natamani walau zingekuwepo mbili za aina hii.Mshambuliaji na Nahodha wa Tanzania Mbwana Samatta hali imeanza kuwa tete katika klabu yake ya KRC Genk. Hii ni kufuatia kupigwa benchi mara mbili mfululizo katika mechi za ligi.
Mechi ya kwanza ilikuwa nyumbani pale KRC Genk walipo ikalibisha Waasland Beveren, katika mechi hiyo Samatta alianzia benchi kisha dakika ya 74 akaingia.
Mechi ya pili ni hapo jana tarehe 22. RSC Anderlecht waliikalibisha KRC Genk katika uwanja wao wa nyumbani. Kama kawaida Samatta alianzia benchi Kisha kupata nafasi ya kucheza dakika ya 63. RSC Anderlecht ilishinda kwa magoli wawili kwa bila.
Nafasi ya Mbwana Samatta imechukuliwa na Mnigeria Poul Onuachu.
Je, kwa hatua ni kuonyesha kwamba kiwango cha Mbwana Samatta kimeshuka ama ni mbinu za Mwalimu.?
Ile graphic nimeona kwa wtapp inaonekana matata sana aiseeKwema kaka.
Kufunga goli ni kawaida, hata we ukipata timu ukacheza unaweza kuwafunga Liverpool, ila je alishinda?Huyo kocha mpya hovyo Sana, unawezaje kumuweka Samatta nje kwenye mechi ngumu Kama hiyo?
Wakati Liverpool kawafunga Nyumbani na 'ugenini'!?
Mwenye hii coment atakuwa siyo mtanzania,na kama itakuwa mtanzania atakuwa na bifu lake binafsi.Hii comment inatia huruma alafu badae inachekesha! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]
Hata hapa huwa tuna shangaana hivi Fulani imekuwaje ameachwa... Fulani amepataje namba....
Title yako kama umefurahi vile...Mshambuliaji na Nahodha wa Tanzania Mbwana Samatta hali imeanza kuwa tete katika klabu yake ya KRC Genk. Hii ni kufuatia kupigwa benchi mara mbili mfululizo katika mechi za ligi.
Mechi ya kwanza ilikuwa nyumbani pale KRC Genk walipo ikalibisha Waasland Beveren, katika mechi hiyo Samatta alianzia benchi kisha dakika ya 74 akaingia.
Mechi ya pili ni hapo jana tarehe 22. RSC Anderlecht waliikalibisha KRC Genk katika uwanja wao wa nyumbani. Kama kawaida Samatta alianzia benchi Kisha kupata nafasi ya kucheza dakika ya 63. RSC Anderlecht ilishinda kwa magoli wawili kwa bila.
Nafasi ya Mbwana Samatta imechukuliwa na Mnigeria Poul Onuachu.
Je, kwa hatua ni kuonyesha kwamba kiwango cha Mbwana Samatta kimeshuka ama ni mbinu za Mwalimu.?
Naheshimu mawazo yako mkuu, ila nimekutukana tusi moja baya sana. Nasubiri ban ya jf.Ki ukweli Samatta ni mzigo..sijui alifikaje hapo Genk...nahisi nguvu za giza ndio zilizo msaidia.....
Ila uwanjani ni mweupe sana...Epl hawezi cheza kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app