Mbwana Samatta achaguliwa katika kikosi bora cha UEFA(Europa League)

Angekua mtz angekua nimdanganyifu sana pasina dira ya mpira. Saiz angesema ana miaka 18 coz wtz wadanganyifu wa vyeti vya utambulisho wao.
 
Timu ya taifa hovyo. Vile vilabu pendwa hovyo. Kile Chama nacho mmh. Bora kumshabikia anaejitambua kuliko Bashite. MAS. Bravo Samatta.
 
Afike mbali Samagoal ila sasa team ya taifa inamuangushwa na kusababisha aonekane bado kisoka
 
Tunapofurahia maendeleo mazuri ya Samata tusisahau kuna Daudu Bashite anadaiwa vyeti hapa!
 
Yaani samatta angekuwa mtanzania... Ungesikia mara kamdate mbongo movie, mara video queen.. Hahaha full kuonekana kwenye magazeti ya umbea
 
Namuombea Poppa atue pale stanford bridge, London
 
Pambana samatta utafikia malengo yako. .......usisahau kufanya ibada kwani Dunia tunapita tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…