Naisi wewe ndio mchomeka battery tunamsubiri mchumoaji sasaInamana wa Genk hakuna hata muwakilishi kweli?
SAFI SANA; BILA MAKELELE MENGI KAMA WENGINE. TUNAWATAKIA HERIMshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayeichezea KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta usiku wa October 10 2019 alifunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Naima Omary, Samatta alifunga ndoa jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu wake wachache wa karibu.
Naima na Samatta kabla ya kufunga ndoa walibahatika kupata watoto wawili wa kiume ambaye ni mkubwa na anajulikana kwa jina la Karim na mtoto wa kike, hata hivyo kwa upande wa wachezaji ndoa hiyo ilihudhuriwa na Thomas Ulimwengu, Himid Mao na Faraj Kabaly.
Tunawatakia kila la heri katika ndoa yenu.
View attachment 1229766View attachment 1229767View attachment 1229768View attachment 1229769View attachment 1229770
Nasubiri jibu piaInamana wa Genk hakuna hata muwakilishi kweli?
Uko sahihi kabisa. Katika vitu navyoonea wivu waislam ni suala la ndoa. Harusi zao zipo simple and clear. Hakuna ujinga ujinga wa vikombwelezo visivyo na maana. NB: Hapa sinzungumzii wale waislam walioingia kwenye klabu ya ndoa zenye vikombwelezo kama wakristo.Kaoa kibingwa sana huyu mwambwa....nimeipenda sana hii style yake ya kuoa.
Mtu anafungaje ndoa wakati walikuwa wakiishi wote na wamezaa? Aliiona aibu kuwa akisema anaomba mchango wa Kufunga ndoa watu wangemzodoa.Hamna Cha Kufunga ndoa hapo Ni umaruhuni tu.SAFI SANA; BILA MAKELELE MENGI KAMA WENGINE. TUNAWATAKIA HERI
Uko sahihi kabisa. Katika vitu navyoonea wivu waislam ni suala la ndoa. Harusi zao zipo simple and clear. Hakuna ujinga ujinga wa vikombwelezo visivyo na maana. NB: Hapa sinzungumzii wale waislam walioingia kwenye klabu ya ndoa zenye vikombwelezo kama wakristo.