Mbwana Samatta aisaidia Krc Genk kutoka sare ugenini Europa League

Mbwana Samatta aisaidia Krc Genk kutoka sare ugenini Europa League

COARTEM

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
3,603
Reaction score
3,658
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, dogo anajua mpira. Leo kafunga goli la pili dk ya 47 na kuiwezesha timu yake kutoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya Lokomotiv zagreb. Mechi ya kwanza Krc Genk ya Samatta walishinda bao 1-0.
Hivyo wamefuzu kwa jumla ya mabao 3-2.
Tunasubiri kuona watapangiwa kundi gani huko Europa league.
Hongera mtanzania Mbwana Samatta.

==================
Ufafanuzi

Hiyo ilikuwa ni mechi ya kwanza kati ya KRC Genk na Locomotiva Zagreb

Mechi ya marudiano itachezwa alhamisi ijayo katika uwanja wa Genk

Timu itakayoshinda katika hatua hiyo itaingia katika hatua ya makundi ya Europa League
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, dogo anajua mpira. Leo kafunga goli la pili dk ya 47 na kuiwezesha timu yake kutoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya Lokomotiv zagreb. Mechi ya kwanza Krc Genk ya Samatta walishinda bao 1-0.
Hivyo wamefuzu kwa jumla ya mabao 3-2.
Tunasubiri kuona watapangiwa kundi gani huko Europa league.
Hongera mtanzania Mbwana Samatta.
mkuu kama sikosei hii c ndo raundi ya kwanza bado kuna marudio game za kwanza zilichezwa lini?
 
mkuu kama sikosei hii c ndo raundi ya kwanza bado kuna marudio game za kwanza zilichezwa lini?
watarudiana tare 25/8 genk akiwa nyumban iyo ni raund ya kwanza mkuu angalia vizuri
 
Bravo Samatta,waonyeshe njia vijana wenzao kama mnaweza,sio kumaliza mpira hapahapa bongo kwa kudanganywa na vijipesa nya wahindi..
 
Back
Top Bottom