Mbwana Samatta arejea GENK

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
#MICHEZO Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta amerejea tena katika klabu iliyompa mafanikio barani Ulaya, KRC Genk kwa mkopo wenye kipengele cha kumnunua moja kwa moja akitokea Fenerbahce ya Uturuki.

Samatta aliitumikia Genk katika michezo 191 na kufunga mabao 76 huku akishinda ubingwa wa Ligi Kuu ya Ubelgiji na kufanikiwa kucheza makundi ya Klabu Bingwa Ulaya.

#Samagoal #MbwanaSamatta #EastAfricaTV
 
Mshambuliaji Mtanzania, Mbwana Ally Samatta amejiunga katika Klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji akitokea Fenerbahçe ya Uturuki.

Samatta alipata mafanikio makubwa alipoichezea mwaka 2016 hadi 2020, baada ya hapo alijiunga na Aston Villa ya England.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…