Mbwana Samatta asaini rasmi Genk ya Ubelgiji

Hahaha samagoal yuko makini naamini atafanikiwa sana tu
 
Ali Kib anaongezea umaarufu tu, mahali alipopita yule tall unafikiri ni mchezo.

Ndo maana kila Ali K akiulizwa anakanusha, watu wamemshindwa yule mtoto kwa sababu ya K kutanuliwa na Tall.
Kwani tall unadhani ana utofauti gani na wanaume wengine. Kuna kitu kipana kinachopita kwenye uke kuzidi mtoto? Ina maana wanawake wote waliozaa tungewashindwa kwa sababu uke umetanuliwa wakati mtoto anapita? Nadhani comment yako haina uhalisia
 
Kwani tall unadhani ana utofauti gani na wanaume wengine. Kuna kitu kipana kinachopita kwenye uke kuzidi mtoto? Ina maana wanawake wote waliozaa tungewashindwa kwa sababu uke umetanuliwa wakati mtoto anapita? Nadhani comment yako haina uhalisia

Mkuu kasome process za mwili na reaction zake mwanamke anapotaka kujifungua utaelewa kwamba umechanganya madawa.
 
NAONA SOON VIONGOZI WA SIMBA WAKIANZA KUFKUZAANA BASI TU YULE ANAEBANA WIZI ASIENDELE KUWEPO CLUBUNI WATU WALE MAFAO LOH

SAMATA USIJEIMALIZA SIMBA YETU OOH YAO
 
Hiv no. Za jez znapozid 11..hizo nyingne nn maana make. Unakuta jez ina no.77 n.k
 
Mkuu kasome process za mwili na reaction zake mwanamke anapotaka kujifungua utaelewa kwamba umechanganya madawa.
Nilijua utasema hivyo lakini hauko sahihi. Flexibility ambayo uke unayo uko vile vile. Unajua ile njia ya kufanya abortion ambapo wanatumia vyuma? Unataka kutuambia mwanamke was namna hiyo yukoje? Wewe unataka kumaanisha kwamba hasheem ana maumbile makubwa name kwamba jokate kwa kutembea nae basi uke wake umekua mpana? Are you realistic?? It beggers belief you could have such kind of feelings. Hapo haupo sahihi kabisa kaka you are completely wrong. Halafu hata kwa mfano ingekua ni kweli unajua uke una tabia ile ile kama wakati was kujifua hutanuka name kusinyaa kuruhusu kinachopita kipite tena huweka uterezi au ute kurainisha kuta kufanikisha kipitacho kipite. Ni nani alikwambia uke huwa name tabia hii kwa mtoto tu kupita name sio kwa uume (penis) pia? Ni nani alikudanganya kuwa upana wa uke hutegemea size ya uume mkubwa zaidi kuwahi kupita kwake? Kwa maana hiyo unataka kutumbia kwamba upana wa kipenyo cha uke unareflect size ya mboo zilizowahi kupita? Are you serious? Unajua mwanamke asipotembea na mwanaume siku nyingi say six months uke wake hurudi na kua mdogo sana kiasi kwamba ukija tembea nae unaweza shangaa analalamika na ukimuuliza anakwambia ana muda mrefu hajahamiiana? Usilazimishe ubishi kaka labda tungekua na physician Hapa angekuelewesha vizuri
 
dah najisikia fahari sana.Mwenyezi Mungu amjalie sana.TFF wamekaa kudidimiza vipaji vya watu na matumbo yao.Kila la kheri kaka.
 
Ronaldo delima aliwahi kuvaa jezi namba 99 kabla
 
wapi wadada wa bongo movie au ndo mimba zishawaharibia dili la kupiga mpunga wa wadachi. hahahahahahahahah... big up samatta,ukikomaa utafika mbali sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…