Mbwana Samatta cheza mpira sasa

Wewe a
Akipiga mapicha wewe unapungukiwa nini au ktk mafanikio take wewe ulichangia yeye kupata mafanikio
Mwache hiyo mtoto mtoto wa mbagala aishi atakavyo au ikiwa VP omba ajira ya wewe kuwa mshauri wake!
 
Mkuu kwa HIKI KITU CHA MAANA NA KIZURI ULICHOKIANDIKA AMBACHO KIMENIFANYA SASA NIAMINI KUWA KUMBE WENYE AKILI NA UWEZO WA KUCHAMBUA MAMBO NA KUJENGA HOJA TUMEBAKI WACHACHE SASA. Nimekukubali sana mkuu, asante na naomba niseme tu kwako SHIKAMOO.
Pamoja sana Mkuu.
 
Mkuu umeongea kitu cha maana sana! Natamani wote wale wanaopenda kuanzisha thread waisome comment yako.

Ndio mkuu kuna watu hawataki changamoto aisee wanataka kila mtu akubali hoja yake kitu ambacho hakitawezekana milele
 
Mark my words, ana umri mkubwa zaidi ya huo anaotumia sasa !!
 
Ndio mkuu kuna watu hawataki changamoto aisee wanataka kila mtu akubali hoja yake kitu ambacho hakitawezekana milele
Kuna Kitoto kinajiita Mshana jr Kipite hapa,hii comment inamuhusu.
 
Kuna wabongo kama kawaida yao wamevamia facebook page ya Genk kuongea utumbo, kuna fala kasema Samata is better than Genk sasa sijui anamaana gani. Mwingine anadai hakuna striker bora pale Genk zaidi ya Samata, ali mradi waharibu hali ya hewa tu. Mpaka jamaa wanasema huyu Samata inaelekea ana fans wengi sana
 
acha wivu wa ajabu ajabu,hayo mambo unayoongea ni mambo ya zamani,watanzania wanataka kujua maendeleo ya kijana wetu,nenda instagram uone akina ronaldo wanapiga picha wamefunga mataulo,nyingine anaonyesha nyumba yake mpk chumba cha kulala,kijana ndio ananza kuyaona mafanikio kwanini asifurahie?kama ipo ipo tu wakowapi akina henry joseph,nizar khalfan,hatuna boban ambao tulikuwa hatujui hata wanapocheza leo hii tunao hapa hapa nyumbani.

 
Hii thread imenifanya nimkumbuke maywether...pesa anatafute yeye mipango ya matumizi wanapanga wengine....shwain africans
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…