fisadimpya
Senior Member
- Oct 27, 2011
- 191
- 103
Ulitaka haende timu gani?
Ndio alitokea timu hiyoHivi De Bruyne alichezea hiyo timu pia?
Samatta yupo timu sahihi. Mtoa mada unalo unalotaka kusema, sema tu usiogope!Hapo ni sahihi kabisa na atasonga akitokea hapo..
Hajui anenalo!Mtoa post sio mwanamichezo
Ndio tulivo sisi. Sisi Matanzania.Ujuaji mwingine daaah"!!
kwa hiyo kama alitokea huko unataka mfananisha na samatta?Ndio alitokea timu hiyo
Hivi De Bruyne alichezea hiyo timu pia?