Eeh jamaa hana nguvu za kiume vipi nae kama mie goli mbili chali 🤣🤣🤣🤣Lakini usiwe sensitive na drama za mitandaoni, juzi nimeona video anasema kamuacha jamaa yake kwasababu hana nguvu kiume.
Eeh jamaa hana nguvu za kiume vipi nae kama mie goli mbili chali 🤣🤣🤣🤣
Bao la kwanza linatoka lenyewe ukipapasa upaja na tako🤣🤣🤣🤣
Hongera zake Mwamba. Hapa katisha. Kama zipo location; Kama mbezi, hawezi kosa 2M monthly kila unit.
Hongera zake Mwamba. Hapa katisha. Kama zipo location; Kama mbezi, hawezi kosa 2M monthly kila unit.
Amewekeza huko Netherlands
Na yeye hana makelele wa show off sawa na SamattaAmewekeza huko Netherlands
Hapo anapiga mpunga wa kutosha. Hongera zake kwa maono.Nyumba ziko Mikocheni karibu na Clouds fm
Utafilisika hadi uuze kitanda mbwa wewe! Jichanganye.Jamani mie najitolea kumuoa wema ata kama hazai mie nampe da hivyo hivyo alivyo
Sawa nitafilisika lakini why uniitie mwanaume mwenzio mbwa...wanawake ndio wanatakiwa kutuita wanaume mbwaUtafilisika hadi uuze kitanda mbwa wewe! Jichanganye.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena kelele za mtoto anayelilia wembe[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuita tu Samatta apartment tayari ni kelele
View attachment 3267385
Acha kujidhalilisha wewe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nilijua kajenga msikiti na madrasa tena!
Sio apigi kelele ni mbahili huyo..