Mbwana Samatta kijana mdogo anafanya uwekezaji wa kibabe bila makelele wala show offs

Eeh jamaa hana nguvu za kiume vipi nae kama mie goli mbili chali 🤣🤣🤣🤣
Bao la kwanza linatoka lenyewe ukipapasa upaja na tako🤣🤣🤣🤣

Hakuna hiyo mazee, wewe kuwa makini na mademu wanaopenda show off kwenye mitandao, wanaforce issues kinoma. Utaitwa baby ili awakomeshe watu. Ukiona hivyo kimbia mapema la sivyo utaingia kwenye drama upate msongo wa mawazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…