Kingkorlar
JF-Expert Member
- Oct 16, 2018
- 875
- 995
ndo kashafunga sasa hutaki jitupe ghorofani.Kufunga magoli mawili matatu tena ligi ya Ubelgiji anitwa hodari Bongo bana
Sorry mkuu nimeacha huo ushubwada.Acha ushubwada wewe!!
jana katupiNimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Mbwana Samatta Tangu alivyotua katika Club ya KRC Genk ya Belgium akitokea TP Mazembe ya DRC.
Kiukweli jamaa kiwango chake ni cha kawaida sana na anabebwa sana na bahati kubwa aliyonayo kwani performance yake haitishi sana.
Ukiangalia magoli anayofunga asilimia kubwa ni ya kawaida sana yasiyo na ufundi (hufunga zaidi kwa kichwa na asilimia kidogo kwa mguu na setpieces).
Kwa namna soka la Ulaya lilivyokuwa na ushindani hasa kwa mabeki wakatili (kama akina Pepe) sioni Samatta akifanya lolote mbele yao, kwani mbinu zake mguuni hazitishi mabeki na ni za kawaida sana.
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.....Jamaa some how Anajitahidi na anaendelea kujitahidi kwani ameonesha ujasiri na amekuwa Idol kwa Vijana wengi wenye ndoto za mafanikio kwenye soka kama ya Samatta.
Kama ataweza kuuona uzi huu au aambiwe na mtu wake wa karibu aliyeko humu basi nimwombe ndugu yangu Samatta, aongeze zaidi juhudi na ajifunze mbinu nyingi za kufunga kwani yeye kama forward kazi yake uwanjani ni magoli tu na si vinginevyo. Bila kisahau Kujisahau na Kuvimba kichwa akuepuke sana kwani magazeti ya bongo yanapamba wachezaji hadi wanakuwa under pressure na mwishowe huharibu carrier yao.
Yanga hatujawahi kuwa na shabiki Mbumbumbu.Huyo anaekataa samatta sio mzuri, anataka awe mzuri kama nani?... UTAKONDA BURE
utakuwa shabik wa yanga wewe... jamaa anacheza ulaya , anang'aa, anawapa genk matokeo, uefa na ligi... wewe unataka awasaidie Man u wakati yeye yuko genk?
Kuna siku atakufunga mdomo atafanya unachotaka huko kwa unaowaita wazuri
Huu sio wakati wa kumzungumza Samatta kwa mtazamo huo. Kila jambo lina wakati wake.Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Mbwana Samatta Tangu alivyotua katika Club ya KRC Genk ya Belgium akitokea TP Mazembe ya DRC.
Kiukweli jamaa kiwango chake ni cha kawaida sana na anabebwa sana na bahati kubwa aliyonayo kwani performance yake haitishi sana.
Ukiangalia magoli anayofunga asilimia kubwa ni ya kawaida sana yasiyo na ufundi (hufunga zaidi kwa kichwa na asilimia kidogo kwa mguu na setpieces).
Kwa namna soka la Ulaya lilivyokuwa na ushindani hasa kwa mabeki wakatili (kama akina Pepe) sioni Samatta akifanya lolote mbele yao, kwani mbinu zake mguuni hazitishi mabeki na ni za kawaida sana.
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.....Jamaa some how Anajitahidi na anaendelea kujitahidi kwani ameonesha ujasiri na amekuwa Idol kwa Vijana wengi wenye ndoto za mafanikio kwenye soka kama ya Samatta.
Kama ataweza kuuona uzi huu au aambiwe na mtu wake wa karibu aliyeko humu basi nimwombe ndugu yangu Samatta, aongeze zaidi juhudi na ajifunze mbinu nyingi za kufunga kwani yeye kama forward kazi yake uwanjani ni magoli tu na si vinginevyo. Bila kisahau Kujisahau na Kuvimba kichwa akuepuke sana kwani magazeti ya bongo yanapamba wachezaji hadi wanakuwa under pressure na mwishowe huharibu carrier yao.
DuuuHao walioshika Bendera yetu wote ngozi nyeupe! Wanaonyesha wanavomkubali! Hamna MZARAMO mwenzio hapo! Wewe huku Baki na roho yako ya jiwe!View attachment 915495
Laiti kama uyo Ulo mweka Avatar angeona ulicho andika apo Dah..............!!! angeku......Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Mbwana Samatta Tangu alivyotua katika Club ya KRC Genk ya Belgium akitokea TP Mazembe ya DRC.
Kiukweli jamaa kiwango chake ni cha kawaida sana na anabebwa sana na bahati kubwa aliyonayo kwani performance yake haitishi sana.
Ukiangalia magoli anayofunga asilimia kubwa ni ya kawaida sana yasiyo na ufundi (hufunga zaidi kwa kichwa na asilimia kidogo kwa mguu na setpieces).
Kwa namna soka la Ulaya lilivyokuwa na ushindani hasa kwa mabeki wakatili (kama akina Pepe) sioni Samatta akifanya lolote mbele yao, kwani mbinu zake mguuni hazitishi mabeki na ni za kawaida sana.
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.....Jamaa some how Anajitahidi na anaendelea kujitahidi kwani ameonesha ujasiri na amekuwa Idol kwa Vijana wengi wenye ndoto za mafanikio kwenye soka kama ya Samatta.
Kama ataweza kuuona uzi huu au aambiwe na mtu wake wa karibu aliyeko humu basi nimwombe ndugu yangu Samatta, aongeze zaidi juhudi na ajifunze mbinu nyingi za kufunga kwani yeye kama forward kazi yake uwanjani ni magoli tu na si vinginevyo. Bila kisahau Kujisahau na Kuvimba kichwa akuepuke sana kwani magazeti ya bongo yanapamba wachezaji hadi wanakuwa under pressure na mwishowe huharibu carrier yao.
kama unaona mimi sina haki ya kumkosoa basi na wewe huna haki ya kuyakosoa mawazo yangu..Note That you idiot!!!Laiti kama uyo Ulo mweka Avatar angeona ulicho andika apo Dah..............!!! angeku......
DON'T BELIEVE IN LUCKY BELIEVE IN HUSTLES
when i see an Alien why shouldn't i confirm their existence?So, you came to realize it today?.
Bongo utasikia kulilia T-shirt ya mwanaume mwenzio ni ushoga. Yaani Mbongo anaficha chuki zake kwenye kuutea uanaume kumbe ndo anaexpress chuki zake hapo!View attachment 916278
Nyingine hii hapa na bado zitakuja mpaka zile za Genk Legend
Kama anafikiri bahati inafunga basi aende na yeye akatafute bahati yake imebebe awe anafunga kama Samata.Mtoto wa watu anapigana na umaskini na mawazo Finyu.Naanza kuelewa kwanini wabongo wengi hawarudi huku home.Vitu kama hivi na mawazo kama haya.Hawa ndio warudisha maendeleo duniani.Hawana jema...hata ufanye nini hawana jema.Ndio tafsiri ya msafara wa mamba hapa duniani lazima ukute mijusi..kenge ..kenge ndio kama hao sasa.Samata baba endelea kubahatisha huko Genk..baadae na bahati zako tunakuombea tukuone uingereza.Tunaamini unajitihada kubwa sana kupambana na hali za Mawazo finyu za huku kwetu.Wazungu hawamini kitu kinaitwa bahati,haya mambo ya bahati yako Afrika na sehemu nyengine za dunia lakini sio wazungu,...Kama wazungu wamemuona na kumchukua katika timu zao basi wameona uwezo wake...
Nimeaminiwhichcraft is real