Mbwembwe za huko moshi wakati huu wa sikukuu za xmas

Mbwembwe za huko moshi wakati huu wa sikukuu za xmas

BIG STONE AND CONER STONE

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2023
Posts
421
Reaction score
728
Members wa Jm F Niwaletee kisa cha Jamaa yetu mmoja ukiwa na ushauri mzuri nitampelekea. Ujumbe huo.
Kijana mwenzetu kutoka moshi Ana hisi kukata Tamaa maana amefanya biashara ya duka Nikaenda poa Sana Ila alvyotaka kuongeza fremu ya pili akayumba kabisa.
Akarudi kwenye kazi za kuajiriwa akawa anapata mshahara at least alivyo jipanga akafungua duka la nguo halikuwa na matokeo bora, akaishia kulifunga ile kazi iliyompa mtaji wa nguo ikaisha kimazingira flani basi yasiyo rasmi sana,
Sasa mambo hayaeleweki anakuambia akiangalia post za wenzake wa Huko kilimanjaro wakati huu walivyo enda na magari mazuri nyumba nzuri walio jenga vijana Rika lake a najiuliza.. Alikosea wapi
Huyu ndg anahisi kukata Tamaa tu Mshauri nn ndg yetu!
 
umeingiza mchaga hapo ili upate attentions za watu blah blah tu.

yawezekana ikawa fake story
 
Members wa Jm F Niwaletee kisa cha Jamaa yetu mmoja ukiwa na ushauri mzuri nitampelekea. Ujumbe huo.
Kijana mwenzetu kutoka moshi Ana hisi kukata Tamaa maana amefanya biashara ya duka Nikaenda poa Sana Ila alvyotaka kuongeza fremu ya pili akayumba kabisa.
Akarudi kwenye kazi za kuajiriwa akawa anapata mshahara at least alivyo jipanga akafungua duka la nguo halikuwa na matokeo bora, akaishia kulifunga ile kazi iliyompa mtaji wa nguo ikaisha kimazingira flani basi yasiyo rasmi sana,
Sasa mambo hayaeleweki anakuambia akiangalia post za wenzake wa Huko kilimanjaro wakati huu walivyo enda na magari mazuri nyumba nzuri walio jenga vijana Rika lake a najiuliza.. Alikosea wapi
Huyu ndg anahisi kukata Tamaa tu Mshauri nn ndg yetu!
Huyu ni ww mwenyewe unasingizia wengine
 
Back
Top Bottom