Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatari sanaTupo tulioona madaftari mepesi na tunabeba mifuko ya cement mbaya mbovu. Maisha ni ubaya ubwela.
Noma sana mkuu mpaka unanukia ukuta 😂hatari sana
haya maisha acha tu ,kikubwa tunaishi mpaka saa hiiNoma sana mkuu mpaka unanukia ukuta 😂
Hakika ilo ni la kushukuru sana.haya maisha acha tu ,kikubwa tunaishi mpaka saa hii
mimi nanukia maitiNoma sana mkuu mpaka unanukia ukuta 😂
Ni maisha tu ipo siku yatakwisha.mimi nanukia maiti
watoto wajinga kabisa wakuchapa shaba.Ajabu hadi leo kuna vijana unakuta ni wanafunzi wa sekondari bado wana uhuni wakijinga wa kuikataa shule na kujificha vichakani wakivuta bangi.
Watu hawajifunzi kabisa.