Pre GE2025 Mc Gara B kugombea jimbo la SEGEREA 2025 (tetesi)

Pre GE2025 Mc Gara B kugombea jimbo la SEGEREA 2025 (tetesi)

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Andrew123

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
8,358
Reaction score
10,976
Mc Mashuhuri duniani GARA B ameonyesha nia ya kugombea jimbo la Segerea kwenye uchaguzi 2025. Kupitia Chama Cha Mapinduzi. Hakika Segerea mpya yaja. Wana Segerea kazi kwenu.
 
Amuulize Steve nyerere alichofanywa na wajumbe
 
Back
Top Bottom