TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Hongereni na kongoleni MC wote wa Mwanza na vitongoji vyake vya jirani, mfano Kisesa, Magu na kwingineko kwa kazi kubwa mnayoifanya.
Kwakweli kazi iendelee bila kusita. Hata hivyo, mnakumbushwa kumueleza mwalimu wenu aliyewafundisha topic ya "Kusherehesha wakati wa kutoa zawadi" kuwa anatafutwa. Hivyo, popote alipo ajisalimishe!
Mjumbe hauwawi.
Kwakweli kazi iendelee bila kusita. Hata hivyo, mnakumbushwa kumueleza mwalimu wenu aliyewafundisha topic ya "Kusherehesha wakati wa kutoa zawadi" kuwa anatafutwa. Hivyo, popote alipo ajisalimishe!
Mjumbe hauwawi.