McGara B pigania platforms za Energy Summit, achana na events za Kiswahili!

McGara B pigania platforms za Energy Summit, achana na events za Kiswahili!

Event za kiswahili ndio zinalipa sababu zipo kila siku.

unafanya jukumu dogo la kuwaambia cheza, cheza na tambulisha wakwe ila unalipwa hela nyingi kwa masaa machache tu.

mfano Gara B anachaji milioni 4 kwa sherehe tu ya masaa matatu. na sherehe kila siku zipo

hizo summit zinatokea mara moja kwa miaka. na zinahitaji umakini sana na kizungu kikali
 
1. Gara B achana na events za kujazana ujinga. Nyoosha kiingereza chako ingia dimba za kimataifa (level za Energy Summit).

2. Jifunze kwa moderators wa sessions za huu Mkutano. Kama kichwa si kizito, pambana platforms za kimataifa atatoboa.
Inawezekana hizo event za kiswahili kama ulivyosema wewe anafanya vizuri...
Ila akapewa hizo za Dimba za Kimataifa ikawa tofauti...

Kwa kifupi tu...hizo zina watu wake....Na Protocols wanazijua vyema...siku ukihudhuria event ana'host Taji Liundi utanielewa....

Alamsiki!!!!!
 
Nimeona neno energy nimemkumbuka Poor Brain

Tuzo za Energy Summit zikoje mkuu?
Mbona unanishambulia hivo.
Mimi nimeacha kunywa energy siku hizi alafu kingine energy sio nzuri kiafya..

You also you drink energy dont mention me as if you are not eat that drink all we drink
 
Mbona unanishambulia hivo.
Mimi nimeacha kunywa energy siku hizi alafu kingine energy sio nzuri kiafya..

You also you drink energy dont mention me as if you are not eat that drink all we drink
You also you drink energy dont mention me as if you are not eat that drink all we drink.
 
Ngumbaru yule pamoja na Dr cheni,hizo platforms sio level zao.wao waendelee tu kudeal na hizi zetu za uswazi
 
Keshatoboa kwa kiwango chake.....hayo mambo ya International yana watu wake
 
Back
Top Bottom