neyl Senior Member Joined Nov 23, 2011 Posts 127 Reaction score 19 Jan 6, 2012 #61 mh jaman usihukumu maana nawe utahukumiwa, mti wenye matunda ndio huwa unapigwa mawe
PakaJimmy JF-Expert Member Joined Apr 29, 2009 Posts 16,199 Reaction score 8,761 Feb 3, 2012 #62 Freemason agent in the parliament!
Angel Msoffe JF-Expert Member Joined Jun 21, 2011 Posts 6,781 Reaction score 1,647 Feb 3, 2012 #63 Ndo mana mama mchungaji anaichukia jf na ameishtaki bungeni leo
The Don JF-Expert Member Joined Dec 2, 2011 Posts 3,499 Reaction score 1,170 Feb 3, 2012 #64 Kumbe alipita huku ukweli ukamchoma mbaya na ndo maana alikuwa anaichongea bungeni leo,hebu tumwanike uozo wake wote hapa sasa kwani kachokoza.
Kumbe alipita huku ukweli ukamchoma mbaya na ndo maana alikuwa anaichongea bungeni leo,hebu tumwanike uozo wake wote hapa sasa kwani kachokoza.
Dividend JF-Expert Member Joined Jan 15, 2017 Posts 2,102 Reaction score 3,343 Apr 20, 2020 #65 Mh kuchukua msukule tena
Mchochezi JF-Expert Member Joined Feb 29, 2012 Posts 10,962 Reaction score 7,830 Apr 20, 2020 #66 Mwamakula said: Mch .Getrude Rwakatare wa Mikocheni B Assemblise of God anatajwa kumuchukua msukule mtoto wa Joyce Masali . Taarifa hii imeandikwa kwa undani kwenye gazeti la kiu leo lakini wameficha jina lake. Click to expand... Duuh
Mwamakula said: Mch .Getrude Rwakatare wa Mikocheni B Assemblise of God anatajwa kumuchukua msukule mtoto wa Joyce Masali . Taarifa hii imeandikwa kwa undani kwenye gazeti la kiu leo lakini wameficha jina lake. Click to expand... Duuh