Mch. Getrude Rwakatare anatajwa anatajwa kumuchukua binti musukule

mh jaman usihukumu maana nawe utahukumiwa, mti wenye matunda ndio huwa unapigwa mawe
 
Ndo mana mama mchungaji anaichukia jf na ameishtaki bungeni leo
 
Kumbe alipita huku ukweli ukamchoma mbaya na ndo maana alikuwa anaichongea bungeni leo,hebu tumwanike uozo wake wote hapa sasa kwani kachokoza.
 
Mch .Getrude Rwakatare wa Mikocheni B Assemblise of God anatajwa kumuchukua msukule mtoto wa Joyce Masali .
Taarifa hii imeandikwa kwa undani kwenye gazeti la kiu leo lakini wameficha jina lake.
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…