GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kwa utashi wako, unaona nani anastahili kuaminiwa hapo?Kanumba hakufa? Hata sielewi!
Daktari alithibitisha kuwa alikufa.
Mch. Katekela kasema hakufa.
Tumwamini yupi?
Kisheria hili limekaaje?
Sikiliza kuanzia dakika ya 2:15
siyo kila anayejiita mchungaji ni mchungaji kweliKanumba hakufa? Hata sielewi!
Daktari alithibitisha kuwa alikufa.
Mch. Katekela kasema hakufa.
Tumwamini yupi?
Kisheria hili limekaaje?
Sikiliza kuanzia dakika ya 2:15
Kanumba ndo wa kumwamini.Wewe kwa utashi wako, unaona nani anastahili kuaminiwa hapo?
Pole sana ndugu!Na nyie tumewachoka na nyuzi zenu zenye Lengo la kukshafu dini. Lengo la huu uzi ni matusi kwa Ukristo na dini kwa ujumla. Acheni kuokoteza video za watu wasioeleweka na kuanza chafua dini nyie mapepo kwa jinsi ya mwili mnaotumia fake ID.
Nilitatanika ndiyo maana nikaamua kuupandisha huu uzi, nikiamini kuwa huenda kuna wanaofahamu kwa undani nisiyoyajua.Wewe kwa utashi wako, unaona nani anastahili kuaminiwa hapo?
Kasema Kanumba hakufa. Alichukuliwa msukule baada ya kukataa kumtoa mama yake kafara.36 mb ....mkuu are you high?Hebu tuandikie tu alichoongea huyo mchungaji
Ostaadh hebu sema kweli!Nilitatanika ndiyo maana nikaamua kuupandisha huu uzi, nikiamini kuwa huenda kuna wanaofahamu kwa undani nisiyoyajua.
Uko sahihi mkuu.siyo kila anayejiita mchungaji ni mchungaji kweli
kuna mmoja huwa anaichukia Yanga, kila mara anatabiri watafungwa
wengine wehu tu
Hiyo video ni mb36 siwezi kumaliza kwa kumsikiliza kichaaKanumba hakufa? Hata sielewi!
Daktari alithibitisha kuwa alikufa.
Mch. Katekela kasema hakufa.
Tumwamini yupi?
Kisheria hili limekaaje?
Sikiliza kuanzia dakika ya 2:15
wachungaji hawa wasanii tupu!! wanawapiga hela waumini wao wamewafanya mazombie, kama hajafa amlete leo hiiKanumba hakufa? Hata sielewi!
Daktari alithibitisha kuwa alikufa.
Mch. Katekela kasema hakufa.
Tumwamini yupi?
Kisheria hili limekaaje?
Sikiliza kuanzia dakika ya 2:15
Na wewe kwa akili yako na usomi wako ukaona kuwa hayo maneno yana ukweli na yanatoka kwa mtu mzima; na siyo tapeli tu linalotumia jina la Yesu?Kasema Kanumba hakufa. Akichukuliwa msukule baada ya kukataa kumtoa mama yake kafara.
Msimuliaji wa hayo, Mch Katekela, anadai alikuwa miongoni mwa kikosi cha wachawi waliotumwa kuchukua Kanumba. Kipindi hicho huyo Mchungaji alikuwa mchawi mwenye ushirika na freemason.
Hapo lemgo lake ni kashfa juu ya Ukristo hamna lolote. Anajiokotezea video huko mtandaoni alafu analeta hapa ili kukashfiana.Na wewe kwa akili yako na usomi wako ukaona kuwa hayo maneno yana ukweli na yanatoka kwa mtu mzima; na siyo tapeli tu linalotumia jina la Yesu?