Pre GE2025 Mch. Msigwa: CHADEMA wamekomaa, wameiga demokrasia kutoka CCM, Wasitake CCM iwe na demokrasia kama yao (CHADEMA)

Pre GE2025 Mch. Msigwa: CHADEMA wamekomaa, wameiga demokrasia kutoka CCM, Wasitake CCM iwe na demokrasia kama yao (CHADEMA)

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwanachama wa CCM, Mchungaji Peter Msigwa akizungumzia mchakato wa kumteua Rais Samia kuwa mgombea wa Urais 2025 uliofanyika Dodoma.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"CHADEMA wamekomaa, wamejifunza demokrasia kutoka CCM, kwasababu kama ulivyoona Dodoma pale Chama cha Mapinduzi (CCM) nacho kilionesha demokrasia ya hali ya juu sana. CCM kilikuwa na Mkutano Mkuu na Chama kilikuwa kimeandaa agenda ya kuwambia Wajumbe wake kuhusu utekelezaji wa Ilani ya Chama chao wakaonesha clip pale kuonyesha demokrasia ndani ya Chama Wajumbe wakasimama wakaleta agenda nyingi lakini Mwenyekiti wa Chama kwakufuata utaratibu akawaambia tumalize kwanza agenda mmepokea agenda tuliyoileta hapa? Wajumbe wakasema wamepokea akawapa uhuru watu wakanyoosha mikono wakasema Mhe. Mwenyekiti kwa kazi nzuru uliyofanya sisi tunaona unafaa kuwa Mgombea Urais."

Soma, Pia
 
Mwanachama wa CCM, Mchungaji Peter Msigwa akizungumzia mchakato wa kumteua Rais Samia kuwa mgombea wa Urais 2025 uliofanyika Dodoma.

"CHADEMA wamekomaa, wamejifunza demokrasia kutoka CCM, kwasababu kama ulivyoona Dodoma pale Chama cha Mapinduzi (CCM) nacho kilionesha demokrasia ya hali ya juu sana. CCM kilikuwa na Mkutano Mkuu na Chama kilikuwa kimeandaa agenda ya kuwambia Wajumbe wake kuhusu utekelezaji wa Ilani ya Chama chao wakaonesha clip pale kuonyesha demokrasia ndani ya Chama Wajumbe wakasimama wakaleta agenda nyingi lakini Mwenyekiti wa Chama kwakufuata utaratibu akawaambia tumalize kwanza agenda mmepokea agenda tuliyoileta hapa? Wajumbe wakasema wamepokea akawapa uhuru watu wakanyoosha mikono wakasema Mhe. Mwenyekiti kwa kazi nzuru uliyofanya sisi tunaona unafaa kuwa Mgombea Urais."

Chadema wameigaje decmocrasia ya ccm? Huyo wa kupita bila kupingwa halaf mtu akihoji taratibu za chama anafukuzwa uana chama? Seriously?
 
uziri ni kwamba msigwa ambaye ni mpizani kiasilia anakula teuzi ccm basic salary 10m+

anachukua nafasi ya mwanaccm

halafu ccm mfia chama anapiga miayo na kujambajamba bila kazi
 
Back
Top Bottom