Nyumba ina umiliki wa Mushi wewe umejuaje kuwa ni yake Mch Lwakatare?fafanua maana huyu mama kazidi ufisadi.Tanesco wizi yeye,madawa ya kulevya yeye,pesa za yatima yeyeMch.Rwakatare hakutaja Jumba la Tshs1000,000,000/_ambalo lipo kitalu na 2019 na 2020 eneo la Kawe Beach Kinondoni kandokando ya Mto Mbez.Nyumba hiyo Mama Rwakatare anamiliki kwa jina la Frank Joseph Mushi tangia Agosti 7,2011.Mda wote mwingi wa maombi Mch. Rwakatare amekuwa akiomba na kukemea pepo la Bomoa Bomoa akiliita kuwa ni pepo la uharabifu ambapo nyumba hiyo ipo ktk nyumba 100 ambazo zipo ufukwe wa Bahari na zapaswa kubomolewa.
Mch.Rwakatare hakutaja Jumba la Tshs1000,000,000/_ambalo lipo kitalu na 2019 na 2020 eneo la Kawe Beach Kinondoni kandokando ya Mto Mbez.Nyumba hiyo Mama Rwakatare anamiliki kwa jina la Frank Joseph Mushi tangia Agosti 7,2011.Mda wote mwingi wa maombi Mch. Rwakatare amekuwa akiomba na kukemea pepo la Bomoa Bomoa akiliita kuwa ni pepo la uharabifu ambapo nyumba hiyo ipo ktk nyumba 100 ambazo zipo ufukwe wa Bahari na zapaswa kubomolewa.
Ama kweli, madhehebu ya dini ni
kichaka cha mafisadi.
ndio maana huyu mama anaichukia jamii forum kila siku inamuumbua
Taarifa za inteligensia!Nyumba ina umiliki wa Mushi wewe umejuaje kuwa ni yake Mch Lwakatare?fafanua maana huyu mama kazidi ufisadi.Tanesco wizi yeye,madawa ya kulevya yeye,pesa za yatima yeye
Kila kilochakamili huchuka kutoka Kwa Baba wa mianga.Mavuno yaliyo na doa ni yale yaliyo mbali na wizi ,ukahaba, ujambazi.Huwezi kupata mavuno halafu ukaficha Huwezi kumushukuru Mungu kwa mali za wizi! Pale mwanzo alisema shetan kapoteza fomuUnajuaje kama amedanganya kamati ya maadili???? kama wewe unafahamu hivyo why dont you report the matter????
na kama nyumba hiyo iko katika list ya zile ambazo zinatakiwa kubomolewa tatizo ni nini hasa?/
na huyu mama anapiga maombi jumba lake lisibomolewe kuna tatizo gani????? ACHA CHUKI NA WIVU
BAHATI YA MWENZIO USIILALIE NJE Kama ameweza kujenga hilo jumba basi mungu atamuwezesha kujenga jingine pengine zuri zaidi ya hilo. UKIMUONA MKULIMA MWENZAKO AMEPATA MAVUNO MENGI KULIKO YAKO NI BUSARA KUMUULIZA SIRI YA MAFANIKIO KULIKO KUMTIA ILA
Unajuaje kama amedanganya kamati ya maadili???? kama wewe unafahamu hivyo why dont you report the matter????
na kama nyumba hiyo iko katika list ya zile ambazo zinatakiwa kubomolewa tatizo ni nini hasa?/
na huyu mama anapiga maombi jumba lake lisibomolewe kuna tatizo gani????? ACHA CHUKI NA WIVU
BAHATI YA MWENZIO USIILALIE NJE Kama ameweza kujenga hilo jumba basi mungu atamuwezesha kujenga jingine pengine zuri zaidi ya hilo. UKIMUONA MKULIMA MWENZAKO AMEPATA MAVUNO MENGI KULIKO YAKO NI BUSARA KUMUULIZA SIRI YA MAFANIKIO KULIKO KUMTIA ILA