santana delux man
Member
- Dec 4, 2017
- 15
- 12
Mzalamo alitangaza anatibu magonjwa yoooote kwa tsh 100'000 pekeee na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki yako anaongeza chajuu inakuwa 200'000
Mchaga akajisemea hii ndo fursa ya kupiga ela haiwez acha inampita
Akaenda kutibiwa
MZALAMO:unaumwa nini?
MCHAGA:sisikiii ladha yototee mdomoni kabisaaaa
MZALAMO:sawa toa laki kabisa
MCHAGA akatoa
MZARAMO akamwagiza msaidizi wake
"Lete kikopo no.27 anywe huyu"
Mchaga akanywa akatema fasta puuh!! Puh puuh!! Mmmmh huu si mkojo huu??
MZARAMO:umepona karibu tens
Mchaga aka-mind sana siku ya pili akarudi tena hakuamini kama ameliwa pesa take
MCHAGA:aiseeee nna tatizo LA kusahau mpaka nasahau kula
MZALAMO:hakuna shida toa laki tukupe tiba
MCHAGA akatoa pesa Leo akijua lazima afanikiwe
MZALAMO:Nesi naomba namba 27
MCHAGA:asaa chalii angu hicho si cha jana cha mkojo kile????
MZARAMO:umepona kumbukumbu unayo[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mchaga akajisemea hii ndo fursa ya kupiga ela haiwez acha inampita
Akaenda kutibiwa
MZALAMO:unaumwa nini?
MCHAGA:sisikiii ladha yototee mdomoni kabisaaaa
MZALAMO:sawa toa laki kabisa
MCHAGA akatoa
MZARAMO akamwagiza msaidizi wake
"Lete kikopo no.27 anywe huyu"
Mchaga akanywa akatema fasta puuh!! Puh puuh!! Mmmmh huu si mkojo huu??
MZARAMO:umepona karibu tens
Mchaga aka-mind sana siku ya pili akarudi tena hakuamini kama ameliwa pesa take
MCHAGA:aiseeee nna tatizo LA kusahau mpaka nasahau kula
MZALAMO:hakuna shida toa laki tukupe tiba
MCHAGA akatoa pesa Leo akijua lazima afanikiwe
MZALAMO:Nesi naomba namba 27
MCHAGA:asaa chalii angu hicho si cha jana cha mkojo kile????
MZARAMO:umepona kumbukumbu unayo[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]