Atapita huyu mwamba ila ajiandae na figisu za yule mama mkurugenzi wa ubungo, tatzo hawa wakurugenzi wanasahau kama tunakaa nao mtaani na kama ni ulinzi watapewa wa muda tu. Yupo wapi yule mbunge wa kinondoni kwa tiketi ya CUF aliamia CCM kwa mbwmbwe Leo hii anajuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.