====
Kama Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA mpaka kifo chake kwanini anataka kumtoa Lissu kwenye Kamati kuu?
Nia ya Mbowe ni Nini?
Kitendo Cha CHADEMA na Kamati kuu kumkosa Tundu Lissu kwa sababu yoyote Ile hakika CHADEMA mtalia na kusaga meno ni heri kama siku hiyo isingewafika.
====
Kama Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA mpaka kifo chake kwanini anataka kumtoa Lissu kwenye Kamati kuu?
Nia ya Mbowe ni Nini?
Kitendo Cha CHADEMA na Kamati kuu kumkosa Tundu Lissu kwa sababu yoyote Ile hakika CHADEMA mtalia na kusaga meno ni heri kama siku hiyo isingewafika.
====