Mbowe lazima apigwe tuCHADEMA ni kama sikio la kufa, Mbowe anatamaa sana ya vyeo
Sana kumbe hata CCM mmemuonaCHADEMA ni kama sikio la kufa, Mbowe anatamaa sana ya vyeo
Very true Lissu ni muhimu sana kwa CHADEMAAcheni inyeshe tujue panapovuja, mbowe anafanya jeuri juu ya lissu akijifanya haelewi lissu ni brand kubwa. Let say akakosekana kwenye kamati kuu, hiyo chadema itakuwa ya namna gani? One man show ya mbowe imeshuka sana kwa sasa alitakiwa a step down kupisha mwanachama mwingine awe mwenyekiti kuipa chadema momentum
====
Kama Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA mpaka kifo chake kwanini anataka kumtoa Lissu kwenye Kamati kuu?
Nia ya Mbowe ni Nini?
Kitendo Cha CHADEMA na Kamati kuu kumkosa Tundu Lissu kwa sababu yoyote Ile hakika CHADEMA mtalia na kusaga meno ni heri kama siku hiyo isingewafika.
====
Mkuu, katika chama kinachoamini demokrasia, kufuata katiba ni jambo la lazima. Kama katiba inamruhusu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu, basi atakuwa tu. Mambo ya kupeana ni mambo ya taasisi zisizofuata demokrasia. Sijajua ni kwa nini unataka Lissu apewe bure badala ya kuigombania kwa njia ya kidemokrasia====
Kama Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA mpaka kifo chake kwanini anataka kumtoa Lissu kwenye Kamati kuu?
Kama watanzania hawakumchagua awe rais na nchi inaenda wala hatusagi meno sasa kwa nini uwatushe chadema.====
Kama Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA mpaka kifo chake kwanini anataka kumtoa Lissu kwenye Kamati kuu?
Nia ya Mbowe ni Nini?
Kitendo Cha CHADEMA na Kamati kuu kumkosa Tundu Lissu kwa sababu yoyote Ile hakika CHADEMA mtalia na kusaga meno ni heri kama siku hiyo isingewafika.
====
Yeye Yericko ndio hastahili na bado kitambo kidogo sana atang'olewa meno bila ganzi
Saccos yao hiyo. Wana ona jamaa ata waanika====
Kama Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA mpaka kifo chake kwanini anataka kumtoa Lissu kwenye Kamati kuu?
Nia ya Mbowe ni Nini?
Kitendo Cha CHADEMA na Kamati kuu kumkosa Tundu Lissu kwa sababu yoyote Ile hakika CHADEMA mtalia na kusaga meno ni heri kama siku hiyo isingewafika.
====
Sahihi kabisa Wala haina malengo ya dolaNi dhahiri cdm ni taasisi ya watu fulani kabla wengi waliingia kichwa kichwa bila kujijua.
Tupo pamoja mkuu.Sahihi kabisa Wala haina malengo ya dola
Munakosea sana munapom-quote huyu Mtu asiyejua Bei ya Vitabu vyake vilivyo kuwa copied and pasted toka kwa waandishi wengine.
====
Kama Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA mpaka kifo chake kwanini anataka kumtoa Lissu kwenye Kamati kuu?
Nia ya Mbowe ni Nini?
Kitendo Cha CHADEMA na Kamati kuu kumkosa Tundu Lissu kwa sababu yoyote Ile hakika CHADEMA mtalia na kusaga meno ni heri kama siku hiyo isingewafika.
Wajumbe mchagueni Lissu atakuwa hana cheo Chochote
Sawa====
Kama Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA mpaka kifo chake kwanini anataka kumtoa Lissu kwenye Kamati kuu?
Nia ya Mbowe ni Nini?
Kitendo Cha CHADEMA na Kamati kuu kumkosa Tundu Lissu kwa sababu yoyote Ile hakika CHADEMA mtalia na kusaga meno ni heri kama siku hiyo isingewafika.
====