Uchaguzi 2020 Mchakamchaka wa Urais Bara kupitia CHADEMA baada ya Mbowe kujitosa

Uchaguzi 2020 Mchakamchaka wa Urais Bara kupitia CHADEMA baada ya Mbowe kujitosa

Mc cane

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2018
Posts
5,570
Reaction score
10,517
Salam wakuu,

Mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu ambapo kutakuwa na Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani na kila Chama kinatazamiwa kusimamisha mgombea/wagombea katika nafasi hizo za uongozi.

Nimeona niongelee mchakato huu ndani ya CHADEMA kwa kuwa mara baada ya Freeman Mbowe kutangaza nia ya kugombea Urais kumekuwa na mtazamo tofauti kutoka kwa Watanzania.

Baadhi ya Watanzania wamekuwa wakimlaumu Mbowe kwa kitendo cha kuamua kugombea, wako walioamini kwamba kwa kufanya hivyo amevuruga/atavuruga mshikamano ndani ya Chama wakati wa kumsaka na/au baada ya mchakato wa kumpata mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama chao.

Baadhi wamepongeza hatua hiyo wakiamini Mbowe ameamua kugombea kwa kuwa hiyo ni haki yake ya kidemokrasia kusimama kukiwakilisha Chama katika nafasi hiyo kubwa kabisa nchini.

My Verdict

Kushambuliwa kwa Mbowe hivi karibuni, hali ya Mbowe kule jimboni (hii ni pamoja influence ya ya Serikali kwenye hili) vimechochea maamuzi yake kuamua kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kugombea Urais

Kuna watu ndani ya chama/wapenzi wa chama waliamini kuwa hii nafasi ya kuwakilisha Chama ni ya Tundu Lisu, kuingia kwa Mbowe kwenye equation kutaleta mtazamo na matokeo tofauti kwenye mchakato wa kumpata mgombea wa Urais na Pengine kwenye siasa za chama kwa siku zijazo. Pengine hapa, Lazaro Nyalandu na Peter Msigwa wameongezewa nafasi za kufanikiwa katika mbio zao kwani hali halisi inaonesha kuwa wapiga kura wa Mbowe ndio wapiga kura wa Lisu.

Mpango/Mchezo wa CHADEMA kwenye Uchaguzi mkuu huu wa mwaka huu 2020. Sote tunafahamu kuwa kumekuwa na propaganda/maneno ya hapa na pale kuhusu kutokuwepo na demokrasia ndani ya CHADEMA hususani inapotokea Mbowe anagombea nafasi flani ndani ya Chama. Kwa Mbowe kuamua kugombea akishindwa kwa kiasi kikubwa zile propaganda/maneno ya kuwa Mbowe ni CHADEMA au CHADEMA ni Mbowe zitakuwa, zitahitaji mtu awe chizi ili aendeleze maneno hayo. Mbowe AKISHINDA kwenye Uchaguzi ambao Lisu anagombea na kuwa mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA bado watu watakubali kuwa Mbowe ameshinda kihalali kwani kama hajashinda kihalali Lisu si mtu wa kukaa kimya inapotokea rafu imefanyika katika jambo lolote.

Mwisho mimi ningekuwa nipo CHADEMA ningefurahi ndugu Mbowe kuingia kwenye mchakato huu kwani hii ni hatua kubwa ya kuwaziba midomo wale wote waliokuwa wanasema CHADEMA hakuna demokrasia kwani kuponda wagombea wengi wanapojitokeza ni hatua ya kudhihirisha kuwa CHADEMA hakutakuwa na mchakato wa kidemokrasia.

Ningekuwa nipo upande wa CCM ningekuwa nina mashaka, ningejiuliza nini CHADEMA wanapanga. Lakini pia ningeweza kuwa na imani kuwa kitendo cha Lisu na Mbowe kugombea nafasi moja hususani ya Urais inaweza kuleta mpasuko mkubwa ndani ya Chama cha CHADEMA kwa nyakati hizi za Uchaguzi Mkuu au hata baada ya hapo

Waingereza wanasema let's wait and see
 
Sisi wajumbe ndo tutao maamuzi ya Mwisho watu muendelee kuwa na Subra ila mbowe mpaka sahivi yuko 57% lissu 23 Msigwa 10% na Nyarabdu 10%
 
Kwa mchakato wa CCM kuwa mgumu mpaka kumpata mgombea Urais ,waTz wengi wanaona Lumumba ndio pekee ya kutoa viongozi
 
Kuna mambo ya kujiuliza baada ya Mbowe kuingia kwenye mchakato wa kugombea

Siamini kama jambo ambalo limetokea randomly tu, yaani kila mtu ameamua kuchukua fomu kivyake vyake
 
Mbowe katia nia ya kugombe kimkakati zaidi ya dhamira. Lissu asingeweza kutia nia bila ya kupata baraka za Mbowe. Kinacchofanya Mbowe kutia nia ni mambo 2 makubwa.

1. Kuonesha dunia kuwa CHADEMA inaheshimu demokrasia. Wakati Mwenyekiti wa chama anagombania nafasi na wengine bila ya kupita bila ya kupongwa.

2. Kutokuwa na uhakika kama serikali ya CCM itamruhusu Lissu kuweza kugombea kutokana na mafigisu waliyomuwekea. Ikitokea hivyo na wakati wa kurejesha fomu umeshapita ndani ya chama, awemo mtu wa kuaminika apeperushe bendera.
 
Sawa mkuu

Hayo yanawezekana kuwa ndio malengo
Mbowe katia nia ya kugombe kimkakati zaidi ya dhamira. Lissu asingeweza kutia nia bila ya kupata baraka za Mbowe. Kinacchofanya Mbowe kutia nia ni mambo 2 makubwa.

1. Kuonesha dunia kuwa CHADEMA inaheshimu demokrasia. Wakati Mwenyekiti wa chama anagombania nafasi na wengine bila ya kupita bila ya kupongwa.

2. Kutokuwa na uhakika kama serikali ya CCM itamruhusu Lissu kuweza kugombea kutokana na mafigisu waliyomuwekea. Ikitokea hivyo na wakati wa kurejesha fomu umeshapita ndani ya chama, awemo mtu wa kuaminika apeperushe bendera.
 
Kwa nini ccm hawaruhusu demokrasia ndani ya chama, mtu mmoja ndio amekuwa"The Warlord" hagombei na mtu na anapita bila kupingwa.

Udikteta huu tunaoushuhudia leo unaanzia mbali, chama ni jiko na serikali ndio sebule. Ccm hawawezi tena kupinga huu udikteta wa wazi.
 
Mbowe katia nia ya kugombe kimkakati zaidi ya dhamira. Lissu asingeweza kutia nia bila ya kupata baraka za Mbowe. Kinacchofanya Mbowe kutia nia ni mambo 2 makubwa.

1. Kuonesha dunia kuwa CHADEMA inaheshimu demokrasia. Wakati Mwenyekiti wa chama anagombania nafasi na wengine bila ya kupita bila ya kupongwa.

2. Kutokuwa na uhakika kama serikali ya CCM itamruhusu Lissu kuweza kugombea kutokana na mafigisu waliyomuwekea. Ikitokea hivyo na wakati wa kurejesha fomu umeshapita ndani ya chama, awemo mtu wa kuaminika apeperushe bendera.
Mbowe anataka watu wasahau huu mjadala. Hakuna Cha zaidi.
JamiiForums-588850425.jpg
 
Anataka kustaafu siasa baada ya kushindwa urais
 
Salam wakuu,

Mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu ambapo kutakuwa na Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani na kila Chama kinatazamiwa kusimamisha mgombea/wagombea katika nafasi hizo za uongozi.

Nimeona niongelee mchakato huu ndani ya CHADEMA kwa kuwa mara baada ya Freeman Mbowe kutangaza nia ya kugombea Urais kumekuwa na mtazamo tofauti kutoka kwa Watanzania.

Baadhi ya Watanzania wamekuwa wakimlaumu Mbowe kwa kitendo cha kuamua kugombea, wako walioamini kwamba kwa kufanya hivyo amevuruga/atavuruga mshikamano ndani ya Chama wakati wa kumsaka na/au baada ya mchakato wa kumpata mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama chao.

Baadhi wamepongeza hatua hiyo wakiamini Mbowe ameamua kugombea kwa kuwa hiyo ni haki yake ya kidemokrasia kusimama kukiwakilisha Chama katika nafasi hiyo kubwa kabisa nchini.

My Verdict

Kushambuliwa kwa Mbowe hivi karibuni, hali ya Mbowe kule jimboni (hii ni pamoja influence ya ya Serikali kwenye hili) vimechochea maamuzi yake kuamua kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kugombea Urais

Kuna watu ndani ya chama/wapenzi wa chama waliamini kuwa hii nafasi ya kuwakilisha Chama ni ya Tundu Lisu, kuingia kwa Mbowe kwenye equation kutaleta mtazamo na matokeo tofauti kwenye mchakato wa kumpata mgombea wa Urais na Pengine kwenye siasa za chama kwa siku zijazo. Pengine hapa, Lazaro Nyalandu na Peter Msigwa wameongezewa nafasi za kufanikiwa katika mbio zao kwani hali halisi inaonesha kuwa wapiga kura wa Mbowe ndio wapiga kura wa Lisu.

Mpango/Mchezo wa CHADEMA kwenye Uchaguzi mkuu huu wa mwaka huu 2020. Sote tunafahamu kuwa kumekuwa na propaganda/maneno ya hapa na pale kuhusu kutokuwepo na demokrasia ndani ya CHADEMA hususani inapotokea Mbowe anagombea nafasi flani ndani ya Chama. Kwa Mbowe kuamua kugombea akishindwa kwa kiasi kikubwa zile propaganda/maneno ya kuwa Mbowe ni CHADEMA au CHADEMA ni Mbowe zitakuwa, zitahitaji mtu awe chizi ili aendeleze maneno hayo. Mbowe AKISHINDA kwenye Uchaguzi ambao Lisu anagombea na kuwa mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA bado watu watakubali kuwa Mbowe ameshinda kihalali kwani kama hajashinda kihalali Lisu si mtu wa kukaa kimya inapotokea rafu imefanyika katika jambo lolote.

Mwisho mimi ningekuwa nipo CHADEMA ningefurahi ndugu Mbowe kuingia kwenye mchakato huu kwani hii ni hatua kubwa ya kuwaziba midomo wale wote waliokuwa wanasema CHADEMA hakuna demokrasia kwani kuponda wagombea wengi wanapojitokeza ni hatua ya kudhihirisha kuwa CHADEMA hakutakuwa na mchakato wa kidemokrasia.

Ningekuwa nipo upande wa CCM ningekuwa nina mashaka, ningejiuliza nini CHADEMA wanapanga. Lakini pia ningeweza kuwa na imani kuwa kitendo cha Lisu na Mbowe kugombea nafasi moja hususani ya Urais inaweza kuleta mpasuko mkubwa ndani ya Chama cha CHADEMA kwa nyakati hizi za Uchaguzi Mkuu au hata baada ya hapo

Waingereza wanasema let's wait and see
Usihofu Mbowe atajitoa mahali flani CDM sio wajinga tunajua tunafanya nini.
 
Salam wakuu,

Mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu ambapo kutakuwa na Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani na kila Chama kinatazamiwa kusimamisha mgombea/wagombea katika nafasi hizo za uongozi.

Nimeona niongelee mchakato huu ndani ya CHADEMA kwa kuwa mara baada ya Freeman Mbowe kutangaza nia ya kugombea Urais kumekuwa na mtazamo tofauti kutoka kwa Watanzania.

Baadhi ya Watanzania wamekuwa wakimlaumu Mbowe kwa kitendo cha kuamua kugombea, wako walioamini kwamba kwa kufanya hivyo amevuruga/atavuruga mshikamano ndani ya Chama wakati wa kumsaka na/au baada ya mchakato wa kumpata mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama chao.

Baadhi wamepongeza hatua hiyo wakiamini Mbowe ameamua kugombea kwa kuwa hiyo ni haki yake ya kidemokrasia kusimama kukiwakilisha Chama katika nafasi hiyo kubwa kabisa nchini.

My Verdict

Kushambuliwa kwa Mbowe hivi karibuni, hali ya Mbowe kule jimboni (hii ni pamoja influence ya ya Serikali kwenye hili) vimechochea maamuzi yake kuamua kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kugombea Urais

Kuna watu ndani ya chama/wapenzi wa chama waliamini kuwa hii nafasi ya kuwakilisha Chama ni ya Tundu Lisu, kuingia kwa Mbowe kwenye equation kutaleta mtazamo na matokeo tofauti kwenye mchakato wa kumpata mgombea wa Urais na Pengine kwenye siasa za chama kwa siku zijazo. Pengine hapa, Lazaro Nyalandu na Peter Msigwa wameongezewa nafasi za kufanikiwa katika mbio zao kwani hali halisi inaonesha kuwa wapiga kura wa Mbowe ndio wapiga kura wa Lisu.

Mpango/Mchezo wa CHADEMA kwenye Uchaguzi mkuu huu wa mwaka huu 2020. Sote tunafahamu kuwa kumekuwa na propaganda/maneno ya hapa na pale kuhusu kutokuwepo na demokrasia ndani ya CHADEMA hususani inapotokea Mbowe anagombea nafasi flani ndani ya Chama. Kwa Mbowe kuamua kugombea akishindwa kwa kiasi kikubwa zile propaganda/maneno ya kuwa Mbowe ni CHADEMA au CHADEMA ni Mbowe zitakuwa, zitahitaji mtu awe chizi ili aendeleze maneno hayo. Mbowe AKISHINDA kwenye Uchaguzi ambao Lisu anagombea na kuwa mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA bado watu watakubali kuwa Mbowe ameshinda kihalali kwani kama hajashinda kihalali Lisu si mtu wa kukaa kimya inapotokea rafu imefanyika katika jambo lolote.

Mwisho mimi ningekuwa nipo CHADEMA ningefurahi ndugu Mbowe kuingia kwenye mchakato huu kwani hii ni hatua kubwa ya kuwaziba midomo wale wote waliokuwa wanasema CHADEMA hakuna demokrasia kwani kuponda wagombea wengi wanapojitokeza ni hatua ya kudhihirisha kuwa CHADEMA hakutakuwa na mchakato wa kidemokrasia.

Ningekuwa nipo upande wa CCM ningekuwa nina mashaka, ningejiuliza nini CHADEMA wanapanga. Lakini pia ningeweza kuwa na imani kuwa kitendo cha Lisu na Mbowe kugombea nafasi moja hususani ya Urais inaweza kuleta mpasuko mkubwa ndani ya Chama cha CHADEMA kwa nyakati hizi za Uchaguzi Mkuu au hata baada ya hapo

Waingereza wanasema let's wait and see
Hapo Mbowe anaingia akijua kabisa atahakikisha hachaguliwi ili kuonesha yeye sio dikteta.
Mbowe hawezi kugombea nafasi anayojua haina maana kwa sababu URAIS anauhakika ni wa Magufuli tu!
 
Salam wakuu,

Mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu ambapo kutakuwa na Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani na kila Chama kinatazamiwa kusimamisha mgombea/wagombea katika nafasi hizo za uongozi.

Nimeona niongelee mchakato huu ndani ya CHADEMA kwa kuwa mara baada ya Freeman Mbowe kutangaza nia ya kugombea Urais kumekuwa na mtazamo tofauti kutoka kwa Watanzania.

Baadhi ya Watanzania wamekuwa wakimlaumu Mbowe kwa kitendo cha kuamua kugombea, wako walioamini kwamba kwa kufanya hivyo amevuruga/atavuruga mshikamano ndani ya Chama wakati wa kumsaka na/au baada ya mchakato wa kumpata mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama chao.

Baadhi wamepongeza hatua hiyo wakiamini Mbowe ameamua kugombea kwa kuwa hiyo ni haki yake ya kidemokrasia kusimama kukiwakilisha Chama katika nafasi hiyo kubwa kabisa nchini.

My Verdict

Kushambuliwa kwa Mbowe hivi karibuni, hali ya Mbowe kule jimboni (hii ni pamoja influence ya ya Serikali kwenye hili) vimechochea maamuzi yake kuamua kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kugombea Urais

Kuna watu ndani ya chama/wapenzi wa chama waliamini kuwa hii nafasi ya kuwakilisha Chama ni ya Tundu Lisu, kuingia kwa Mbowe kwenye equation kutaleta mtazamo na matokeo tofauti kwenye mchakato wa kumpata mgombea wa Urais na Pengine kwenye siasa za chama kwa siku zijazo. Pengine hapa, Lazaro Nyalandu na Peter Msigwa wameongezewa nafasi za kufanikiwa katika mbio zao kwani hali halisi inaonesha kuwa wapiga kura wa Mbowe ndio wapiga kura wa Lisu.

Mpango/Mchezo wa CHADEMA kwenye Uchaguzi mkuu huu wa mwaka huu 2020. Sote tunafahamu kuwa kumekuwa na propaganda/maneno ya hapa na pale kuhusu kutokuwepo na demokrasia ndani ya CHADEMA hususani inapotokea Mbowe anagombea nafasi flani ndani ya Chama. Kwa Mbowe kuamua kugombea akishindwa kwa kiasi kikubwa zile propaganda/maneno ya kuwa Mbowe ni CHADEMA au CHADEMA ni Mbowe zitakuwa, zitahitaji mtu awe chizi ili aendeleze maneno hayo. Mbowe AKISHINDA kwenye Uchaguzi ambao Lisu anagombea na kuwa mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA bado watu watakubali kuwa Mbowe ameshinda kihalali kwani kama hajashinda kihalali Lisu si mtu wa kukaa kimya inapotokea rafu imefanyika katika jambo lolote.

Mwisho mimi ningekuwa nipo CHADEMA ningefurahi ndugu Mbowe kuingia kwenye mchakato huu kwani hii ni hatua kubwa ya kuwaziba midomo wale wote waliokuwa wanasema CHADEMA hakuna demokrasia kwani kuponda wagombea wengi wanapojitokeza ni hatua ya kudhihirisha kuwa CHADEMA hakutakuwa na mchakato wa kidemokrasia.

Ningekuwa nipo upande wa CCM ningekuwa nina mashaka, ningejiuliza nini CHADEMA wanapanga. Lakini pia ningeweza kuwa na imani kuwa kitendo cha Lisu na Mbowe kugombea nafasi moja hususani ya Urais inaweza kuleta mpasuko mkubwa ndani ya Chama cha CHADEMA kwa nyakati hizi za Uchaguzi Mkuu au hata baada ya hapo

Waingereza wanasema let's wait and see
CHADEMA ni demokrasia tupu !
 
Back
Top Bottom