Mbona waloinamisha vichwa wote wapo na simu?Inamisha kichwa chako usiahupaze shingo mzee ukishupaza shingo unaliwa kichwa chap tu...!
Mbona waloinamisha vichwa wote wapo na simu?
1000 Words,
Aiseee leo ndo nimeelewa vzr duh1000 Words,
Hapo pia picha inasema simu zimezubaisha wengi wasiweze kuona kinachotokea upande wa pili(Upande wa juu)..kuna mmoja amesimama kama anatengeneza kitu ...na mwingine ana- lawnmower=(Apps & games,Socialnetworks) za kwenye simu zinazozubaisha wengi wasigundue kitu.View attachment 2581855