Katika hili walifanikiwa kwa kiasi kikubwa na hakuna kingine cha maana kilichofanyika na hata wao kisaikolojia hawakuwa wamezamilia kuja na katiba mpya tena ya wananchi Bali kukusanya laki tatu kwa siku, ambayo ndiyo iliyokuja kutumiwa kipindi cha kampeni kuhonga wananchi na mambo mengine